Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,228
Chuki binafsi ndio zinawasumbuwa wengi wenu, usanii tu 24x7, labda nikuhoji swali dogo, habari unazo bwata hapa umezipata wapi! Are you a Govt inner circle member au?Amini ninachokwambia na kitakacho mponza ni watu kama wewe .
Mjiandae maana hamtaamini macho yenu maana sasa hivi anajiandaa kufunga virago.
View attachment 1737457
Hivi msipo wasema vibaya na kuwaribia sifa akina Poleopole na Bashiru mtapoteza nini? Baadhi ya vijana wana Demonic traits za kuwatakia wenzao mabaya, sijui kwa nini?