Iache nyumba yako ipumue

Umenena vema ila naomba uwatoe kunguni kwenye hiyo list. Kunguni huletwa kutoka guest house za kuleee..
 
Mimi nina utoto ni kweli. Je wewe mwenye ukubwa tuambie cha maana ?
Cha maana ninachoweza kukuambia ni acha utoto,au kama kuacha uwezi punguza utoto kwenye Mambo ya Msingi!!
 
Ushauri mzuri sana huu, binafsi napenda mabambo ya aina moja tu.... PICHA TU. 📷

nikicheki huku wazee wangu, kule familia yangu nk...
 
Kila nikiingia humu chakwanza huwa lazima niangalie mshana anasemaje nakushuru bro mada zako pow sana
 
Tupo wengi.Nachoma sana nguo ambazo naona zimepauka au kuchakaa kiasi siwezi mpa mtu.Sipendi makorokoro.Wasichana wangu washanijua kuna vitu nakuta washavitupa kabla hata sijasema.
 
Umenena vema ila naomba uwatoe kunguni kwenye hiyo list. Kunguni huletwa kutoka guest house za kuleee..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lakini kunguni hakai mahali pasafi, ukileta hiyo mbegu ntumbani kama nyumba ni chafu itamea lakini kama nyumba ni safi hiyo mbegu itakufa
 
Kule kwetu kuna msemo"ekyai ky'omunju tikiburwa kya kukoma" ni msemo wa zamani ila faida yake ni ndogo sana ukilinganisha na usumbufu alioandika MUSHANA. Ata ofisini kuna vitu sio vya lazima unaweza kuvipunguza pa.
 
You're the best Mshana Jr. Ahsante kwa elimu nzuri mtu mzito.
 
'Feng shui' rule...

Bahati mbaya wabongo huwa tunajenga na kuishi tu
 
Hahahahahahha kaka nimecheka hadi machozi
 
'Feng shui' rule...

Bahati mbaya wabongo huwa tunajenga na kuishi tu
Nimejiongeza
Read on for five feng shui rules that should never be broken!
Be organized and tidy. This is first on the list for a reason! ...
Keep your bed away from the window. Feng shui is very strict about this rule! ...
Separate work and rest areas. ...
Use the Bagua Map properly. ...
Know your colors
 
Kumbuka kila kimoja kati ya hivyo kimetengenezwa na malighafi tofauti tofauti, kitendo cha kuvirundika vyote sehemu moja husababisha futuko, hewa nzito na harufu za ajabu.
Hi ni kweli haina ubishi nililiona baada ya kuhama kutoka nyumba ya kupanga kwenda kwenye nyumba ya bure na yenye nafasi ya kutosha, nililala usingizi wa ajabu wa zaidi ya masaa 12
 
Hi ni kweli haina ubishi nililiona baada ya kuhama kutoka nyumba ya kupanga kwenda kwenye nyumba ya bure na yenye nafasi ya kutosha, nililala usingizi wa ajabu wa zaidi ya masaa 12

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Umenena vyema mkuu,

Chumba safi na kilichopangliwa kinaleta pumzko la mwili na akili
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…