Iache nyumba yako ipumue

Asante Mkuu, nimeelewa!

Watanitambua huko home leo... maana hata makopo, mandoo yasiyotumika, masufuria na mamifuko yamelundikwa tu bila sababu.......
[emoji3]halafu hivyo vyote ni pesa ujue..vinauzika bila shaka
 
Hii nyumba juu ya shingo kwakweli nina uhitaji mkubwa sana wa kuisafisha.
 
Asante mkuu,sema vingine tunavitunza kwa ajili ya kumbukumbu kwa vizazi vya baadaye kwamba tulishawahi kumiliki mali hapo nyuma.sasa watajuaje kama babu yao nilishawahi kumililiki panasonic
 
Asante mkuu,sema vingine tunavitunza kwa ajili ya kumbukumbu kwa vizazi vya baadaye kwamba tulishawahi kumiliki mali hapo nyuma.sasa watajuaje kama babu yao nilishawahi kumililiki panasonic
Hakuna shida kabisa kama utaviweka katika hali ya usafi na mpangilio mzuri.. Hata mimi nina vichache vya kumbukumbu lakini viko mahali pazuri, pasafi na palipopangiliwa vema
 
Sijui ni tabia sijui ni nini jamani na tumevirithi toka enzi na enzi
 
Yeah iliyojaa makorokoro yasiyotumika ni makazi ya wadudu,viumbe kama panya ,nyoka na hata mapepo wachafu.
Kwa kuongezea mkuu majoto , moja ya dalili za mtu kuwa na mapepo ni kuwa mchafu au kuishi katika mazingira machafu. Hujipendi, hujijali na mazingira yako yapo hovyo jua haupo sawa na salama, kuna viumbe umewatengenezea makazi.
 
Less is more.
Binafsi sipendi nyumba imerundikana mavitu. Living room sofa, coffee table, katelly, dinning set@Living+dinning room..jikoni kuna essential appliances na utensils..vyumbani ni kabati + mpangilio wake wa nguo, vitanda na table lamps & their stands...bafu/choo vitu muhimu tu.
Mtu unafanya usafi bila kusukumana na vitu.
Kitambo sana nimejifunza kutupa au kutonununua vitu visivyohitajika. Kimeharibika hakitengenezi, tupa kule.
 
Mkuu Mshana kuhodhi vitu hata visivyohitajika ni aina mojawapo ya ugonjwa wa akili "withholding tendecy".

Wapo wanaoamini kwamba mgonjwa wa afya ya akili ana mapepo...! Wengi wanaoanguka wakuombewa stress na ingeweza kutibiwa kitaalam.

Kama una makorokoro kibao home na huwezi kuachana nayo, tafuta huduma ya tiba ya afya ya akili.

[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]

Credit kwako baba Isaya
 
Ccm pia wako na matakataka mengi ndio mahana mapepo hayaweishi
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2839][emoji2839][emoji2839][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
 
A very good setup[emoji1540][emoji1548][emoji1752]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…