I wish I had a husband already

I wish I had a husband already

How I wish I had a husband jamani nimechoka kuwa mpweke. Usiku kama huu I have no one to cuddle with in bed just holding my pillow imaging it as a man.

Yan wanaume wa kuoa wapo ila kimbembe mpaka umpate atakae kuvutia. Just like me here I get approached with a lot of men but sijaona alienivutia wengi ni wafupi halafu mimi napenda wale walioenda hewani. Sasa jamani na umri huu nikiendelea kuchagua si nitafika 30 sina dalili ya kuolewa oohh God help. At this age I wish I had 2kids and a lovely husband but non has happened no kids no husband.

Dear future hubby popote ulipo nakuita uje kwa jina la Yesu tuanze mipango ya ndoa yetu mwakani muda kama huu niwe na ujauzito wa miezi mitano for our first born.

Dear hubby I promise to love you to hell like no one ever did before, I will care for you, cook for you, take you for a bath in the morning, wash your clothes, pray for you, love your family, help you financially, give you good sex anytime you need etc.
My lovely husband your future wife needs you now she is so tired of sleeping alone.

Nakupenda mume wangu mtarajiwa naamini kabisa utakua hukuhuku Jf umejifucha tu.
Angalizo watanzania wengi ni wafupi, unaweza kuishia kuwa old maid
 
Huyu ma,la,ya anatafuta harusi tu, akishaolewa hatamaliza miaka 5 bila divorce siombei hilo ila ndio nachokiona tokana na pride alionayo na bila shaka ndi kilichomfanya yupo single hana hata mchumba!
wanaitwa single mom material.........
 
Hahaha mbona mie wazee wangu unaeza sema wametokea umasaini! Ni matolu wote, ufupi its just a genetic issue! Kama ndugu zangu wangu wote ni matolu 185cm+ ila mie ndio mfupi it shows hata mie nina T kubwa ndani yangu so its likely ntakuja kuwa na watoto warefu mbeleni!
Kuhusu kupenda pesa ni ipo sana kwa jamii za watu maskini hata huko ulaya, Watu ambao baba zao wali win mapema wakakulia katika Lavish lifestyles hata hawababaikagi na hela! Anaenda anapata zake ila hutamskia akimsumbua mumewe eti kisa ana pesa, maskini ndio tunaleteanaga shida!

Yeye tatizo siyo watoto kuwa warefu bali kama wewe ni andunje hamtapendeza mkiwa mnatembea mlimani city au mkienda senema.
 
Yeye tatizo siyo watoto kuwa warefu bali kama wewe ni andunje hamtapendeza mkiwa mnatembea mlimani city au mkienda senema.
Mpuuzi basi huyo demu, mwanamke anaetafta mtu kwa vigezo vya kimo huwa ana matatizo flani katika namna ya kufikiri vitu. hizo bishara ni za watoto wa form 1-6! Ukiona mtu mzima anaongelea urefu sijui wataonekanaje wakiwa wanatembea barabarani ujue mtu hamna hapo!
 
We unafikiri Jf imejaa wanawake tu? Au nitoe siri? Nilidate na mtu from Jf for three years and everything was going well with the relationship..this is just a new ID (my interest declared)

Alikuwa mrefu au mfupi?? uliachika ulimuacha? nani alimshindwa mwenzie?
 
Kupata mume si rahisi kama unavyotaka...ukikua utaelewa namaanisha nini,mume ni zaidi ya u-handsome,se.x n.k,natumia uzoefu wa kuwa kwenye ndoa zaidi ya miaka 10+ lakini ukituona utafikiri ndio tumekutana leo.Mara nyingi mume atafutwi kwa njia unayotumia wewe,bali huwa anakuja 'automatic' kutokana na wewe unavyojiweka katika mazingira yanayokuzunguka.Kama unadharau...utawapata watakaokudharau na mwisho wa siku ni kuchapwa tu,na hata kama kuna ndoa itakuwa ni ile ya misukosuko.

Tatizo hao wa automatic wote ni ma andunje ambao hawataki huyu mrembo
 
Wanaume warefu wapo PM tunayajenga nyie wafupi endeleeni kutokwa na mapovu hapa

,...Angalizo.....hao matolu waambie wakuonyeshe picha toka juu mpaka chini kabla hamjafika mbali huko PM....siku zote wanaaongea sana ni ma andunje na ndiyo waliowahi huko PM ...
 
Here I am bebe. Nimesubiri kwanza hao wajipitishe then mzee mzima nicomment.

Tell you what, even me am tired of sleeping alone. Njoo kwangu Mama njoo. Come to me bebe. Come, &Let's build our kingdom.

NB: Sifa zote ninazo. Mi mrefu kila eneo.

kwa maneno haya kama ni boya atakusikia
 
Mpuuzi basi huyo demu, mwanamke anaetafta mtu kwa vigezo vya kimo huwa ana matatizo flani katika namna ya kufikiri vitu. hizo bishara ni za watoto wa form 1-6! Ukiona mtu mzima anaongelea urefu sijui wataonekanaje wakiwa wanatembea barabarani ujue mtu hamna hapo!
Panic at your own risk
 
Back
Top Bottom