mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,626
Unajua jambo la mapenzi ni gumu na mapenzini huwa kuna drama tofauti. Sasa wewe upo unaumia roho na utazidi umia.
Sasa kwanini usiende huko bila kumwambia kaa hotelini na mcheki hata ukikaa nje mahali mtaani ukampa mtu pesa ndogo watanyamaza na utaweza jua mienendo yake.
Najua ni usumbufu ila kwa wewe itakusaidia sana esp ni mtu wa mbali umjue huyo mchumba wako, kwa sasa kila mtu atasema unahisi as hauna proof. Nae atakuruka maili mia.
Bora umchungzue ujue unapeleka nini kwenu asije akakutia aibu kuendelea kulala na men ndoani. Au kukuletea magonjwa.
Ila mmhh mwanamke anaempenda mwanaume weee achezei dume lake atamuheshimu na hata kujisahau kimapenzi. Sasa huyu simu hapokei na wala harudishi duh kweli kuna jambo. Akitongozwa huko anakuacha labda wewe ni spea tairi lake.
Pole usimuonyeshe umeoza hivyooooo, ila why na wewe usipunguze kumpigia pigia?
Sasa kwanini usiende huko bila kumwambia kaa hotelini na mcheki hata ukikaa nje mahali mtaani ukampa mtu pesa ndogo watanyamaza na utaweza jua mienendo yake.
Najua ni usumbufu ila kwa wewe itakusaidia sana esp ni mtu wa mbali umjue huyo mchumba wako, kwa sasa kila mtu atasema unahisi as hauna proof. Nae atakuruka maili mia.
Bora umchungzue ujue unapeleka nini kwenu asije akakutia aibu kuendelea kulala na men ndoani. Au kukuletea magonjwa.
Ila mmhh mwanamke anaempenda mwanaume weee achezei dume lake atamuheshimu na hata kujisahau kimapenzi. Sasa huyu simu hapokei na wala harudishi duh kweli kuna jambo. Akitongozwa huko anakuacha labda wewe ni spea tairi lake.
Pole usimuonyeshe umeoza hivyooooo, ila why na wewe usipunguze kumpigia pigia?