I think she is cheating!

I think she is cheating!

Hapo kaka kuwa makini kuna kitu kinaendelea, anashindwa tu kikwambia lkn..... Prognosis si nzuri
 
Habari wana JF.

Ninamchumba wangu anafanya kazi mkoani na nipo daslam. Nampenda sana na tumekuwa kwenye mahusiano miezi kadhaa. Amekuwa na tatizo kubwa la kutopokea simu yangu hasa wakati wa weekend usiku na mbaya zaidi kama ni jpili atanipigia akishafika ofcn. Nimejaribu kumuonya several time but she is still doing the same.

Kadiri siku zinavyo zidi kusogea naona long distance relationship itanishinda. Naomba ushauri what can i do with her.
Nawasilisha.

Mkuu ifike wakati tuache kushauriana sijui nini na nini..nakubali ningekuwa kwenye nafasi yako bado ningekuwa na viulizo..coz sometimes it is hard to accept the unwanted truth and to let go...but because I am watching the players I am in a better position to see and say...hapo mwana usijiulize mara mbili..fact ni kuwa kweli anacheat..the best you can do ni kama upo tayari kuendelea naye for the sake of an impossible chance kwamba labda atachange au unapiga chini...finito!
 
asije akawa ndo huyu nilienae sasa kwan anapgiwaga sana sim.
nkmwambia apokee anase ni mfanyakaz mwenzie tumpotezee tuu
 
Thanks! Ila sihitaji kugombana nae nataka nikae mpaja jtatu asubuhi na nitakuwa nae the whole weekend nisome mazingira yake. I am sure kama kunakitu nitajua. Especially mawasiliano. I dont mean kukagua simu yake but simu zitakazo ingia tukiwa wote etc. Nikigundua kitu jtatu asubuhi nikiondoka hanioni tena!

Uje kutupa mrejesho(part 2),..mkuu.
 
Amina. Thanks very much kwa ushauri wako. Naamini hafanyi hivyo ila imeaanza kunipa wacwac. Some time action speak more than words so i am trying kureason y she is doing that but i am very sure kesho nitatimba pale mida ya sanne after work na najua nikikaa nae mpaka jtatu asubuhi ninavyo rudi job daslam nitakuwa na jibu kamili. Nampenda sana na ninamwamini sana but kuna kakitu nilinote ndikokaliko sababisha nianze kuwa na wacwac

Tena wacwac mwabulamb.....ooo...
 
Wakati mnaanza Mapenzi yenu ya kufatana Mikoani kila wiki haikuwa shida,ulijihisi raha kwenda kama Mkuu wa mkoa anapoenda kwenye Mahafali ya Kidato cha Nne...Mpenzi wako alijisikia kama Malkia vile na akaamini Distance si kikwazo tena..

Long Distance Relationships sio kama vinyweleo kila mtu anavyo,inataka Moyo,Kujitoa na Sacrifice sana,kama unajua huna hizi sifa 3 usiingie!Poleni sana mlioambiwa Distance sio ishu,maana sasa imekuwa BIG ISSUE!Wote mko Tanzania hii lakini hamuonani utadhani Boyfriend kaenda vitani Iraq kumbe yuko hapahapa,chezea Distance wewe!

speaking from experience
Please don't practice distance love at home..
 
i realy dnt know y midume bado mnaujinga huu walong distance...it never works..if they say it is basi jua kuwa one or both are cheating

Kama kuna kibanda cha mangi karibu chukua cokacola kipotable nakuja lipia...long distance relationship imekufa long time hata iweje lazima mmoja wenu awe na kiosha rungu au kisafisha kinu
 
asije akawa ndo huyu nilienae sasa kwan anapgiwaga sana sim.
nkmwambia apokee anase ni mfanyakaz mwenzie tumpotezee tuu

hahahahaaaaaaa utakatwa ugoni sasa shauri lako unaliwa kisogoni nawewe hujui tuu
 
mapenzi hata hayaeleweki, mtu unaweza ishi nae mtaa mmoja na bado akwa na tabia za hivyo, hapokei simu hajibu message mi nahisi kupata unaetaka afanye vile unavyotaka ni bahati yaani
 
Back
Top Bottom