mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Keep on thinking,thats y we call ourselves great thinkers!!!what should I do mke wafisadi mzuri ana figure nzuri na anajua kukata kiuno
Keep on thinking,thats y we call ourselves great thinkers!!!what should I do mke wafisadi mzuri ana figure nzuri na anajua kukata kiuno
what should I do mke wafisadi mzuri ana figure nzuri na anajua kukata kiuno
Kwani huyo mke wa mtu kashikiwa bastola au kisu? si ametaka mwenyewe?Kuwa makini dogo utapigwa risasi ya tigo mke wa mtu sumu
nataka kujua niendelee nae au nimtose
Ha ha haaa umenichekesha sana dada Lizzy!....mie nina mmoja toka kitambo na hivi karibuni kanitoa kiasi fulani.
Ila mashariti aliyonipa ni ya kufa mtu. Nafikiri next week nitafungua mjadala wake hapa ili kupata ushauri wenu. maana mmh!!!
Aaaa umenifurahisha sana!Wababa wa mombasa wakija huku ndo watajua faida ya mitala! Mnapenda kulelewa eh?
Wewe ndo ulilalamika unachoshwa mno ila mshiko unafurahia?
Sitaki kuowa nataka kupiga bakora wake wa mafisadi tuKama huyo muke ya fisadi ana wazazi nenda kamlipie mahari akuoe mume wa pili!
Dedication: hiyo mibange tunayovuta ni stimu za kulanduka! Kama sio yako fani kwa kweli utadatika!
Hatuna nguvu yakupambana nao kwahiyo bakora tu kwa wake zao
Babu yangu mganga wakienyeji usijaliAngalia bakora isije ikakupiga mwenyewe kijana. Huyo ni mke wa mtu awe fisadi au la.
Ukija pewa mshipa pia itakuwa afadhali.
Cholo,nikikusoma between the line (ukizingatia umejiunga jana tu hapa jamvini) nimegundua una mambo ya kitoto kabisa....hela anayo na mume wake hawezi mambo fulani kwenye mpira uwanjan goli moja mpira umekwisha gani nunulia v8 na kanifungulia biashara lakini kuna rafiki yake ananitaka na yeye mke wa fisadi
Hadi hapo umshafika, halafu unaomba ushauri....! Basi muulize wapi mumewe mkubwa anakowekaga hela....! Then utuambie hapahapa JF....!what should I do mke wafisadi mzuri ana figure nzuri na anajua kukata kiuno
what should I do mke wafisadi mzuri ana figure nzuri na anajua kukata kiuno
wewe babu kamanimejiunga jana soCholo,nikikusoma between the line (ukizingatia umejiunga jana tu hapa jamvini) nimegundua una mambo ya kitoto kabisa....
nahisi umefungua huu mjadala ili kufurahisha watu tu hapa na si vinginevyo. Nina mashaka na story yako....maana kwa mtiririko
huu wa maelezo yako hata sisi wengine tunaodil . Anyways all the best
Mkuu, mie siyo babu ila namuomba mwenyezi mungu anipe maisha marefu ili siku moja na mimi niitwe babu....mshikachuma unazeeka babu nakushauri rudi kwenu kijijji ukalime au uwemlinzi