I salute wadada wa.kichaga

I salute wadada wa.kichaga

Afu mdada kama Mamndenyi ana miliki magari kadhaa , lakini hamiliki walau Nguruwe wawili wa kufuga !
Mchagga gani hufugi Kitifaya ? Nina doubt na uchaga wenu !

hahahaaa!!shemeji bana
wanaofuga ni wa bush,wa mjini
hua hatufugi,tunamiliki mavitu makubwa tu!!
 
Habari wandugu
Nimefanya uchunguzi hapa mjini
Wadada wengiiii wana magar mazuri na wengi ni wachaga. Nawapongeza sana kwani ni haki.yenu maana mnapiga kaz kiukweli. wanajf mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

Amani kwao...
 
Afu mdada kama Mamndenyi ana miliki magari kadhaa , lakini hamiliki walau Nguruwe wawili wa kufuga !
Mchagga gani hufugi Kitifaya ? Nina doubt na uchaga wenu !

Unanitamanisha unajua wewe,kwa kuwataja hao jamaa,ushaniharibia bajeti sasa,nishaagiza kilo mbili!Kumbe lile bucha pale Kimara sio la Mamndenyi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom