ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 16,697
- 39,155
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, tukiachana na utani wetu wa jadi wa hapa na pape ila mtani katisha
Mtani Leo amepata ufadhili mkubwa mno, billion 38 Kwa miaka 5 ni pesa ndefu mno,
Simba ina wastani wa kuvuna billion 7.6 Kwa kila mwaka. Ambayo ni pesa ndefu kiukweli
Nimeshtuka kusikia kuwa mbali na udhamini huu, kampuni ya Jay Ruty imeahidi
1. Kuwajengea Simba uwanja wa kubeba mashabiki elfu 10 hadi 12
2. Kutoa million 100 Simba day kila mwaka
3.kutoa million 100 kila mwaka kufadhili timu ya vijana
4. Kuwanunulia Simba bus la kifahari aina ya IRIZAR
5 kuwajengea Simba ofisi za kisasa
6 kujenga Media production room
7 fedha za motisha Kwa wachezaji 470milion
8. Medical center
9.kusajili mchezaji yeyote mkubwa kila msimu, ambaye atakuwa kipenzi cha mashabiki
Yaani kwamba wana Simba wakisema mshushe Mayele, chap anasain
Hii proposal mtu mwenye akili timamu huwezi kuikataa
Kusema ukweli Simba wamepata udhamini wa maana
Soma Pia: Klabu ya Simba imesaini mkataba wa bilioni 38 na Kampuni ya JAYRUTTY mzabuni wa utengenezaji Jezi
Sisi Young Africans Kwa GSM ni mfadhili mzuri ila kama hawezi kutuweka wazi na kufanya mambo yaonekane wazi Kwa maandishi na makubaliano basi afanye machache, ila waje wawekezaje wangine wawekeze
Yanga tunatamani mazuri kama haya
Hongera sana Simba sc
Endapo Mambo yatakuwa hivi basi Simba itakuwa timu nzuri kiuchumi
Mtani Leo amepata ufadhili mkubwa mno, billion 38 Kwa miaka 5 ni pesa ndefu mno,
Simba ina wastani wa kuvuna billion 7.6 Kwa kila mwaka. Ambayo ni pesa ndefu kiukweli
Nimeshtuka kusikia kuwa mbali na udhamini huu, kampuni ya Jay Ruty imeahidi
1. Kuwajengea Simba uwanja wa kubeba mashabiki elfu 10 hadi 12
2. Kutoa million 100 Simba day kila mwaka
3.kutoa million 100 kila mwaka kufadhili timu ya vijana
4. Kuwanunulia Simba bus la kifahari aina ya IRIZAR
5 kuwajengea Simba ofisi za kisasa
6 kujenga Media production room
7 fedha za motisha Kwa wachezaji 470milion
8. Medical center
9.kusajili mchezaji yeyote mkubwa kila msimu, ambaye atakuwa kipenzi cha mashabiki
Yaani kwamba wana Simba wakisema mshushe Mayele, chap anasain
Hii proposal mtu mwenye akili timamu huwezi kuikataa
Kusema ukweli Simba wamepata udhamini wa maana
Soma Pia: Klabu ya Simba imesaini mkataba wa bilioni 38 na Kampuni ya JAYRUTTY mzabuni wa utengenezaji Jezi
Sisi Young Africans Kwa GSM ni mfadhili mzuri ila kama hawezi kutuweka wazi na kufanya mambo yaonekane wazi Kwa maandishi na makubaliano basi afanye machache, ila waje wawekezaje wangine wawekeze
Yanga tunatamani mazuri kama haya
Hongera sana Simba sc
Endapo Mambo yatakuwa hivi basi Simba itakuwa timu nzuri kiuchumi