amu sijapenda ulichokiandika..
restuter pole sana dada, you make me feel bad, sijui kwa nini..
Kama ulichoandika ni kweli haujatunga nitafute haraka nakupa internship ya data entry kupata 10,000 kila siku.. Ni very easy job unakuwa unasaidia kuingiza data tu kwenye system.. Ambazo ukifanya mfululizo hazizidi masaa mawili umeshamaliza za siku nzima.. Na ukifanya vizuri na kama wewe ni graduates utaajiriwa kabisa na kupata mshahara fair kabisa kwa graduate..
Angalizo hii ni kwa
restuter tu kwa anayopitia,, maana hiyo kazi nafosi mtu ampe kinguvu.. Pm za graduates wengine naomba zisiwepo..
Niko serious kwenye hili, life ina mambo mengi sana, ni vizuri sana kumshukuru Mungu kwa ulichonacho