I only wanted simple life but always bad luck in my side

I only wanted simple life but always bad luck in my side

Daaaaah!!!!...ts very sad.....pole sana mdada ila kumbuka matatizo yakizidi jua neema inakaribia.....ushakula n'gombe mzima ushindweje mkia??? Usijiue dada mwache mungu afanye kazi yake kwani ye ndo anajua future yakoo
 
No matter what you go through never doubt God's purpose for you in this world. God has not forgotten you exist despite your loneliness. Someday, God will make a way for you and all will be alright. Do not despise your parents or ask why they had to be your parents..... treat them right to the best of your ability. and always rememebr, no matter what you are going through somebody somewhere is in a worse situation than you. Trust in God. He will make a way for you.
 
Rest, nimefurahi sana kuona japo u r still there.. Ucsahau kutoruhusu mahusiano mapya haraka mpz, don't allow them 2 use u anymore.. Enough is enough my lito CZ....
 
Rest, nimefurahi sana kuona japo u r still there.. Ucsahau kutoruhusu mahusiano mapya haraka mpz, don't allow them 2 use u anymore.. Enough is enough my lito CZ....
Being in a relationship does not mean being used.
 
Being in a relationship does not mean being used.

Hey comeon acha kumdanganya koz she has been used....., na huo ndo ukweli kwani c walimdump ? cyo?

Mdogoangu ucdanganyike tena..
Restituta mami Cmama Imara mpz... Na ubarikiwe uingiapo na utokapo, ukawe baraka popote upitapo...
 
pole sana
hadi machozi ......hapo ilipofika sio mahali pa kukata taama endelea kuvumilia japokuwa ajira ni ngumu kupata lakini ipo siku utafanikiwa mwenyezi mungu akusaidie na kujalia hitaji lako
 
@restuter
Nimesoma maelezo yako.....nimeamini kwamba umesema kweli, na si utunzi! Umejaribu kueleza mengi sana (kuna mengine sio relevant kwa ulichotaka kutuambia). Nakupa pole sana kwa maisha uliyopitia, ambayo mengi yamekutokea bila wewe kupanga! Hujapata nafasi ya kuchagua sehemu kubwa ya maisha uliyoisha na unayoisha sasa.

Kuna jambo moja naona katika maelezo yako, kamba umepitia ugumu ambao unakufanya uwe ulivyo! Too negative! Kwa mtazamo wangu hili la kuwa 'negative' sana linafanya ushindwe kuwa na mahusiano muafaka kwako.....pia unaonekana kutegemea uhusino ubebe matatizo yako yote, bila ya wewe kuwajibika kwa uhusiano huo.

Kimsingi hakuna mtu anaependa uhusiano wa kutegemewa sana....kwamba unajiweka kundi la unyonge.....kuhitaji msaada, kutojiamini! Pia nahisi unaweza ukawa huna dira ya maisha yako, kwamba unategemea anayekuja akuamulie kila kitu........SIO RAHISI KUPATA MWANAUME ANAYETAKA MTU WA AINA YAKO.

Ushauri wangu: pamoja na shida zako, jitahidi kuwa 'positive' katika maisha......jenga dira yako ya maisha....ona pale unapotaka kwenda.....na niamini utafanikiwa, katika mahusiano na katika maisha kiujumla! Jitahidi usionekane ni mzigo....kwamba una cha kuchangia kwenye dunia hii!
 
Narudia tena labda lugha imekupiga chenga ngina rema. Kuwa katika mahusiano hakumaanishi utatumiwa.
 
Last edited by a moderator:
restuter asante kwa kujibu, at least inanipa moyo bado unapumua. sikuweza kuingia JF for sometime, ila nataka kukueleza, I am very serious about my proposal.

Naomba ni pm, ili tupange jinsi ya kuongea zaidi. Au nitumie number ya simu au email, nitakutafuta.

just know that you are in my prayers.
Karibu sana
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh!!! Inasikitisha sana!!! Pole sana kwa maisha ya kutangatanga kwa kipindi kirefu cha maisha yako ya miaka 25 hapa duniani. Hilo la kujiua usilifikirie kabisa kulifanya. Muombe Mungu sana akusaidie halafu hapa JF kuna jukwaa ambalo kazi mbali mbali hasa za Serikalini huwa zinatangazwa. Tuma application nyingi kadri unavyoweza na hatimaye unaweza kufanikiwa kuitwa katika baadhi ya kazi hizo ili kufanyiwa usaili na hatimaye kupata ajira. Pole sana na kila la heri katika maisha yako.
 
Pole sana ndugu restuter, Mungu unayemwamini atakujibu tu kwa muda wake hajakusahau maana alikujua hata kabla hujazaliwa na subiria baraka zake nyingi atakazokupatia. Usife moyo, usikate tamaa Mungu bado anakuwazia yaliyo mema.
 
Last edited by a moderator:
++
Ikiwa ushauri wote wa JF members haujakupa msaada basi tafuta kitabu cha Educating Emotions.
Cha Augusto Cury
Kitakusaidia sana.
I went similar experience but that book broke a revolution inside me.
Pole sana dada
++
 
Narudia tena labda lugha imekupiga chenga ngina rema. Kuwa katika mahusiano hakumaanishi utatumiwa.

I will repeat it over n over again.. Nothing will change my views.. I just stand there..not even u....
 
Last edited by a moderator:
Hey comeon acha kumdanganya koz she has been used....., na huo ndo ukweli kwani c walimdump ? cyo?

Mdogoangu ucdanganyike tena..
Restituta mami Cmama Imara mpz... Na ubarikiwe uingiapo na utokapo, ukawe baraka popote upitapo...

Kapewa ada unasema katumiwa?!
Sio kila relationship lazima iishie na ndoa jamani! Tuache unafiki!

Huyu dada nae wa ajabu, sielewi hiyo bad luck anayosema ana maana gani!!?

Ni kweli amepata shida ila ana afadhali kubwa kulinganisha na wengi tu!
Yuko chuo mwaka wa mwisho; huyu alipaswa kuwa mtu mwenye matumaini!
Mambo ya kujilinganisha na wengine ndo yanamfanya ajione hana bahati!
 
Back
Top Bottom