Jamaa anajichanganya sana
Sijawahi kuwa na imani na Zito sijui kwa nini
Mkuu Zitto ni Mzito sana kueleweka hahahaJamaa anajichanganya sana
mkuu ulienda wapi??MUDA MCHACHE MAMBO SHAZI
Huyu bwana mdogo sijui anataka tufanye ya jino kwa jino au anatakaje?Zitto maandishi hayafutiki na ukitaka kuwa mwanasiasa makini usiwe msahaulifu.. La sivyo utaishia kuitwa majina mabaya kama kigeugeu usiye na misimamo mbinafsi nknkView attachment 1287657View attachment 1287658View attachment 1287659