I need help wana sua

I need help wana sua

Taeki-1africa

Member
Joined
May 19, 2012
Posts
23
Reaction score
3
Nimechaguliwa Rural development sijui future yake yaani unakuwa nani na unafanya kazi gani na ktk sector gani nisaidieni
 
Google ina jibu la kila kitu kasoro kuleta mvua tu.
Unachowaza kiandike mule kwa kidhungu watakujibu.
 
Huyu akili zinamtosha kwenda SUA kweli au?
 
Huyu akili zinamtosha kwenda SUA kweli au?

We unamuonaje kwani?
Au kuuliza ndio kosa kubwa alilolifanya?
Unataka amuulize nani kama sio nyie wanajamii wenzake?
Unataka apate msaada wapi kama sio hapa kwenye jumuiya ya JF?

Mjibu maswali yake,kama nawe yamekushinda,kaa pembeni,wache wenye ujuzi na hayo mambo Wamjibu.
Sipendi.
 
Narudi tena,Dogo kama umepata muda wa kusikiliza vizuri hiyo mimbo niliyokupa hapo juu nadhani unaweza kuwa umepata japo jibu kidogo lakini kikubwa nachoweza kukuambia ni kuwa ridhika na Kozi uliyoipata nenda kasome mengine yatafuata,na nisisikie tena eti umemaliza kozi yako kisha unataka kuishi Dar sitakuelewa,halafu Madame B msiri wangu ujue nakutamani kweli,hata sijui siku tukionana nani atakayempa adhabu mwenzieee..
 
Last edited by a moderator:
Narudi tena,Dogo kama umepata muda wa kusikiliza vizuri hiyo mimbo niliyokupa hapo juu nadhani unaweza kuwa umepata japo jibu kidogo lakini kikubwa nachoweza kukuambia ni kuwa ridhika na Kozi uliyoipata nenda kasome mengine yatafuata,na nisisikie tena eti umemaliza kozi yako kisha unataka kuishi Dar sitakuelewa,halafu [MENTION=80055]Madame B[/MENTION] msiri wangu ujue nakutamani kweli,hata sijui siku tukionana nani atakayempa adhabu mwenzieee..

Unanitamani ki namna gani?
Ki-Yesu au ki-Shetani?
Mimi nataka nianze kukupa wewe adhabu ya kulala chali.
Halafu magoti unayakunja.
Lol
 
Google ina jibu la kila kitu kasoro kuleta mvua tu.
Unachowaza kiandike mule kwa kidhungu watakujibu.

Mmmh!
Kama mke wangu hashiki !
Google inaweza kumshikisha? Urongo umeuanza lini ?
Mbona huko nanihii kuhua hivyo?
 
Nimechaguliwa Rural development sijui future yake yaani unakuwa nani na unafanya kazi gani na ktk sector gani nisaidieni

Future ya kozi inapatikana kwenye jina la kozi yenyewe. . .RURAL DEVELOPMENT. . .Hapo huoni utakuwa na kazi gani? RURAL DEVELOPER. . .Kakomae uje uendeleze vijiji vyetu vinahitaji maendeleo jombaa. .
 
Back
Top Bottom