Ebana eeeh hiyo ni kweli kabisa.
Nakumbuka kuna watu walikuwaga wanaenda Zaire kununua viatu na kuja kuviuza Dar.
Basi wengine tulikuwa tunaona Zaire imeendelea sana.
Mi nakumbuka kuna mjomba'angu mmoja hivi mjeda...aliendaga Msumbiji akarudi na nyanya za kwenye kopo [tomato paste] na corned beef za huko.
Basi nilikuwa naona jamaa wameendelea sana hadi wanatengeneza nyanya za kopo.
Hahahaa ujinga kitu kibaya sana.
Manake kigezo cha maendeleo tulichokuwa tunakitumia ni cha vitu na si watu.
Wakati maendeleo ya kweli ni ya watu na si vitu.
Bila kusahau pwagu na pwaguzi(kama sijakosea jina ((hapo kwenye pwaguzi))
Hahahaaa umenikumbusha mchezo ya zamani looh, kombolela, kibaba baba na kimama mama, mate ka, kula mbakshie baba, kiskio poo, rede, vichupa daah.
Ila hapo kwenye kombolela kujificha watu ndo tulijifunzia mechi za mchangani. Unakuta umejificha na mvulana ambaye unampenda na mko wawili tuu mlipojifichia .......
I miss those days hapakuwa na wapambe. .. .. .
I miss those days ukumbi wa harusi unapambwa kwa toilet papers za pink na light blue.
duh...... !Kama bata kapita. .... simoooo ndukiii :bolt:
enzi za kusoma madeni China badala ya made in China
ubaguzi wa rangi wa Afrika kusini ulinipa shida kuelewa maana yake mimi nilijua wanabagua rangi za ukutani nikawa najiuliza hizo rangi za ukutani wanabaguaje na kwanini wanazibagua.
I miss those days mikanda ya porno maskani walikuwa wanaifunika na cover za mwanamuziki Papa wemba au awilo longomba ili watoto tusijue kilichomo ndani
I miss wali wa zamani ulikuwa na kaharufu kazuri sana , lazima tuoge mapema sana siku hiyo .
I miss those days marehemu baba akija usiku katupia vitu vyake anaweka cassete ya kanda bongoman anatushindanisha kukata mauno watoto wote mshindi anapewa sh.20 mara nyingi nilishinda
Du...umenikumbusha mwanzo ngoma ilikuwa inaitwa Juliana...
Kupiga picha na radio au soda...
enzi za kusoma madeni China badala ya made in China
ubaguzi wa rangi wa Afrika kusini ulinipa shida kuelewa maana yake mimi nilijua wanabagua rangi za ukutani nikawa najiuliza hizo rangi za ukutani wanabaguaje na kwanini wanazibagua.