Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,370
- 39,186
NIlikuwa naangalia TVT hapa mara baada ya hotuba ya Rais Kikwete kwa Taifa. Mara kwaya ikatokea wakiwa wametilia sare zao za njano na nyeusi huku wakiimba wimbo uliokuwa ukisindikizwa na kinanda. Mwanzoni nilifikiri ni wimbo wa dini, lakini niliposikiliza nikaona wanaaimba nyimbo ya kumsifia mtu.
Kwa vile kwaya iliingia mara baada ya Rais miye nikaamini basi wanamuombea Rais kwa ajili ya mwaka mpya.. wanakwaya wakawa wanaimba kuomba baraka za Mungu juu ya mtu huyo kwa uongozi wake mzuri na kumtaka "Mungu amlinde" kwa mwaka ujao katika majukumu yake.. Niliposikiliza vizuri nikasikia jina la aliyekuwa anaimbwa na kuombewa Baraka... Tido Mhando wa TVT!
Now, I might be wrong, but I know I'm right.. ni matumizi mabaya ya chombo cha umma!
Kwa vile kwaya iliingia mara baada ya Rais miye nikaamini basi wanamuombea Rais kwa ajili ya mwaka mpya.. wanakwaya wakawa wanaimba kuomba baraka za Mungu juu ya mtu huyo kwa uongozi wake mzuri na kumtaka "Mungu amlinde" kwa mwaka ujao katika majukumu yake.. Niliposikiliza vizuri nikasikia jina la aliyekuwa anaimbwa na kuombewa Baraka... Tido Mhando wa TVT!
Now, I might be wrong, but I know I'm right.. ni matumizi mabaya ya chombo cha umma!