I Love you too much Lamomy

I Love you too much Lamomy

toleo jipya humu ni wengi, tatizo hawajikubaliii, wanataka mauzo kupitia kismati cha wenzao.

Uduguu kwann lakiniii?
Halafu hawajifichi toleo jipya, sasa mwanaume mzima unajisifia mambo ya insta kweli?? Mi nilijua litasema linamiliki kampuni kadhaa nishtuke!! Kumbe anamiliki acc ya insta ya kujibrand alivyo mrembo 🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️
 
Ushabadilisha sio ww tena ndio mzuri insta wanakukula??!! Ww ujue utakosa wachati kwa nyodo zako
Kwahiyo iko kinge chako cha kujitongozeshea insta ndio unaona umetooka mwenyewe!! Mnajidanganya sana ww na wangese wenzio.

Sasa sikia kuna wachati wawili wamejitokeza unaondoka na yupi?? Au wote unawamudu wakupandie dau mrembo wa insta??
 
Back
Top Bottom