I looooveeee uuuu

I looooveeee uuuu

umalaya utawamaliza vijana kaka c mwaka juzi ulifunga ndoa ss uataka kuoa mm yoyo wangapi?
 
Lala1 ..Mdada nimekupenda sana kwa kuangalia avatar yako na muandiko wako hapa jamvini.nimekuwa nikikufuatilia sana humu jamvini sio siri maneno yako yamenifanya nikudondokee kimapenzi..nakiri mimi mmasai nilyeanguka kwako naomba uwe mamaa yoyo wangu..kwa kipindi cha mwaka mupya ujao.2014

wewe mmasai wa wap? Co mama yoyo n mama yeyo
 
Siku si nyingi alikuwa anasema anataka kubebwa na mume wa mtu nadhani labda mahaba yamewakolea ndiyo maana haonekani jamvini huyu Amber Rose wa JF!
 
Lala1 ..Mdada nimekupenda sana kwa kuangalia avatar yako na muandiko wako hapa jamvini.nimekuwa nikikufuatilia sana humu jamvini sio siri maneno yako yamenifanya nikudondokee kimapenzi..nakiri mimi mmasai nilyeanguka kwako naomba uwe mamaa yoyo wangu..kwa kipindi cha mwaka mupya ujao.2014

Mapenzi ya mtandaoni yana tabu sana
 
Basha wake yupo humuhumu akikukamata ataku mamong'oo....PM please will help some how..
 
Lala1 ..Mdada nimekupenda sana kwa kuangalia avatar yako na muandiko wako hapa jamvini.nimekuwa nikikufuatilia sana humu jamvini sio siri maneno yako yamenifanya nikudondokee kimapenzi..nakiri mimi mmasai nilyeanguka kwako naomba uwe mamaa yoyo wangu..kwa kipindi cha mwaka mupya ujao.2014

hapo kwenye red nilikua najifunza kuweka rangi maneno kwa kutumia mobile
 
mpaka sasa hajotokea...atakuwa amepata TYCOON LA MERERANI...
 
hajaja mpaka sasa hivi...kumbe bado kalala...
Amber-Rose-vegas-sleeping.jpg

Hahahaa haaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom