excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
Ni vizuri dunia nzima ijue nimekufa nimeoza kwa huyu mlimbwende wa humu jamvini..
inaonekana mnajuana kiundani!
hivi walimbwende ni watu wa aina gani vile?
Ni vizuri dunia nzima ijue nimekufa nimeoza kwa huyu mlimbwende wa humu jamvini..
Mi simjui hata kidogo ila nimetokea kupenda maneno yake tu.usishangae jamani hayo ndio mapenzi
Lala1 ..Mdada nimekupenda sana kwa kuangalia avatar yako na muandiko wako hapa jamvini.nimekuwa nikikufuatilia sana humu jamvini sio siri maneno yako yamenifanya nikudondokee kimapenzi..nakiri mimi mmasai nilyeanguka kwako naomba uwe mamaa yoyo wangu..kwa kipindi cha mwaka mupya ujao.2014
Chechei
Lala1 ..Mdada nimekupenda sana kwa kuangalia avatar yako na muandiko wako hapa jamvini.nimekuwa nikikufuatilia sana humu jamvini sio siri maneno yako yamenifanya nikudondokee kimapenzi..nakiri mimi mmasai nilyeanguka kwako naomba uwe mamaa yoyo wangu..kwa kipindi cha mwaka mupya ujao.2014
Aise bro utamweza kweli mwanamke huyu?
Mashaka yangu ni kwenye kuongea nae kwa sababu ninavyomfahamu binti huyu ni kwamba huwa anachanganya lugha mno yaani kiswanglish ndo swaga zake
Najaribu kufikiria tu miguno yake kwenye 6x6 yaani uu.... yes..... ndio.... o. m .g.. !!!
NAKUTAKIA KILA LA KHERI
Afu wewe nakuzimiaga,basi tu!
Ni vizuri umefunguka tunamsubiri mhusika aje ajibu ombi lako.
haujui kutuma PM?
au unatafuta kick?
haya bana all is well! ngoja nione kasi ya meli barabarani!