- Thread starter
- #121
KH zimefikaMsalimie Marytina.............., maana na yeye alishawahi kusema...I live my fully life at JF, sina cha kuficha.
Ila ushauri tu wala usifanye hivyo dear,...bado unaweza ukadhibiti hiyo mihemko if u decide. Keep yourself busy, usiangalie movies ambazo zitakuchemsha, bila kumsamhau Mungu ambaye ndo anatusaidia katika kila eneo!
Ubarikiwe
sio lazma uchangieSio kwamba she dont derseve that way,ila inaonekana ni binti mtoka kubaya asie na malezi ya wazazi wawili,soni,adabu.
sio fantasy na stranger inayonisumbua bali ni bf kuwambaliwapo kibao wenye fantasy ya kuhave sex na stranger,wewe sio wa kwanza tii kiu yako ila kumbuka kupractise safe sex!.........
Mamushka tutakuwa maadui mileleEe mwenyezi mungu, mjalie huyo kaka mke mwema na mwaminifu huko aliko. Maria hamfai.
i need a man and not a carTupa kule hiyo baby walker (starlet)
njoo uchukue Nissan Murrano.....lets go Nissan babe!
Mamushka tutakuwa maadui milele
nimeshakueleza namna navyompenda my mchumba kiasi kwamba ntakubali hata kuwa mke wa pili incase
iko hivi: usiku nakosa usingizi nabaki kumkumbuka na kumkosa sana pia sina hamu ya kulaKama unampenda kinachokufanya umsaliti ni nini Maria ?
hii ni radioactive material lazima ilipuke hata ikizuiwajeKama huyo B/F yuko JF umeachwa kwa hivi vi detail ulivyotoa hata kama ni juha atakufahamu..
Pole sana unashindwa kuvumilia tumiezi kadhaa Maria lol pole ...
atakapokuja kutangaza ntakimbilia wapi??Tafuta mtu uliezoeana nae..then uwe unampa kisiri.watu watajua ni kawaida uko nae.ukitafuta wa mbali,ni rahisi kuharibu..dawa ya nyege ku-do! Wa ofisini ndio nzuri zaidi.tafuta mstaarabu,sio mabrazamen wakujisifia..pole!
kwani maria huwezi kuishi bila mwanaume around? kumbuka"A bird in the hand is better than two in the bush," mariabebii hujambo
nimekumiss sana
mwenzio mwili unanitesa
umeitimisha mjadalakwani maria huwezi kuishi bila mwanaume around? kumbuka"A bird in the hand is better than two in the bush," maria
iko hivi: usiku nakosa usingizi nabaki kumkumbuka na kumkosa sana pia sina hamu ya kula
mchana nasinzia ofisini kiasi kwamba nimeshapewa onyo kwa maandishi mara mbili
nahisi ntapoteza kazi
now if ntapoteza kasi nibaki home mchana kutwa si nitaweuka kwa kumwaza?????????????????????????????????????????????????????????????????????
Sijaelewa hapa una maana umeanzisha ID mpya hii Marytina ili utuambie haya baada ya kufungiwa ??Note:the banned Marytina yupo Arusha, baba mngoni,mama mchagga nitamfikishia ujumbe wowote incase