mama mchaga, baba mngoni nimezaliwa na kukulia the geneva of Africa 'ARUSHA'
nina mchumba Mmasai, ADMINISTRATOR wa Tour operators flani.
ILIKUWA HIVI!!!
Wanandoa:angala ulivyochafuka viatu kwa tope, ingina tukupe lifti,NIKAINGIA.
Mume mtu:huna kigari au unataka ya kifahari?
Tina: hela sina hata starlet natamani
Mkewe:Tukuuzie ile Corrola ipo imepaki home mil 4 :Tina:Sina hata mil3.
Mume mtu tupe mil 2 tuende Nairobi kupumzika.Tina:hata hiyo sina.
Mkewe:Sema hutaki gari (mwaka jana tuliinunua mil 8 showroom)tafuta fundi wako akae nayo mwezi mzima incase ila hatukupi bure lazima mil 2 uje kutoa tunajua unazo kabisaaa
Nilimweleza mama/dad na baba/kaka flani wakaniambia Mchumba hatanielewa kivipi nipewe (only 2 mil kwa gari ya 8mil tena lipa mwakani) gari na mbaba jirani na tena naweza achika.Mil2 NINAYO siwezi mdanganya nimenunua kwa 6/7 manake anajua flow yangu ya pesa.Niliota kuachika navutia muda uamuzi wa kuchukua
Wana JF will this car cost my love?kwa nini wanaume wapo hivyo?manake hawa wananikikutana nao huniuliza vipi?hawataki niifanyie udalali kwa kuiuza nikiipata.
nina mchumba Mmasai, ADMINISTRATOR wa Tour operators flani.
ILIKUWA HIVI!!!
Wanandoa:angala ulivyochafuka viatu kwa tope, ingina tukupe lifti,NIKAINGIA.
Mume mtu:huna kigari au unataka ya kifahari?
Tina: hela sina hata starlet natamani
Mkewe:Tukuuzie ile Corrola ipo imepaki home mil 4 :Tina:Sina hata mil3.
Mume mtu tupe mil 2 tuende Nairobi kupumzika.Tina:hata hiyo sina.
Mkewe:Sema hutaki gari (mwaka jana tuliinunua mil 8 showroom)tafuta fundi wako akae nayo mwezi mzima incase ila hatukupi bure lazima mil 2 uje kutoa tunajua unazo kabisaaa
Nilimweleza mama/dad na baba/kaka flani wakaniambia Mchumba hatanielewa kivipi nipewe (only 2 mil kwa gari ya 8mil tena lipa mwakani) gari na mbaba jirani na tena naweza achika.Mil2 NINAYO siwezi mdanganya nimenunua kwa 6/7 manake anajua flow yangu ya pesa.Niliota kuachika navutia muda uamuzi wa kuchukua
Wana JF will this car cost my love?kwa nini wanaume wapo hivyo?manake hawa wananikikutana nao huniuliza vipi?hawataki niifanyie udalali kwa kuiuza nikiipata.