I hate my wife

I hate my wife

Kwa kusoma haraka haraka naona bado una hasira sana ma mkeo na pia huja-identify mizizi ya tatizo/matatizo ya ndoa yako..... Chanzo cha matatizo ni nini hasa.... nafikiri ungeanza kutafakari kuanzia hapo.... otherwise unachokiona ni output/product/matunda ya chanzo cha matatizo yaliyopo kwenye ndoa yenu.... Pole sana.
Sawa kabisa.
 
Kama kosa ni uzinzi muache...tofauti na hapo kaa muongee myajenge
 
Kwanza pata mda Wa kupumzika, hiyo kichwa ngumu achana nae kabisa hiyo mkeo Fanya kama humuoni ila yupo, na usiyafikirie anayo yasema. Wewe ni niwathamani sana mbele za za mungu. Embu muangalie mungu anae kupa kupumua.sisi wote tuna madhaifu yetu.
 
Usijipe mawazo sana kwa kosa hill sijui kakutamkia nini waangalie watoto wako. Ndoa nyingi watu wanavumilia kwaajili ya watoto.
 
Hujatuambia nini amekufanyia lakini ninachokiona mimi ni kwamba utapata furaha pale tu utakapo repair ndoa yako. ....jitahidi brother muyaweke sawa kama ni mtu anayekusikiliza......Pia unahitaji ukutane na watu wa Psychology haraka iwezekanavyo
 
Kuna tatizo. Liko kwako. Kuna kitu wanandoa tunakisahau. Hapo UPENDO umekwisha kwenu nyote wawili. Bila kurejesha upendo, hata hao masheikh na wachungaji au hata wapiga ramli hawawezi badilisha kitu. Mtu akiondokewa na upendo kwa mwenzi wake, ni ngumu kusamehe na maisha huwa yanasimama. Ukiondokewa na upendo, kila kitu kwa mwenzio utakiona kasoro na kibaya. Nina uzoefu mzuri tu ktk migogoro ya aina yako ila aminj bado una nafasi. Kama hutojali, nitafute chemba. Nitakushangaza sana. Amini ndg yangu hakuna mbadala wa huyo mkeo. Ni wakwanza huyo. Mliapa mbele za Mungu. Kuwa kifo kitawatenganisha. Ni dhambi kufikiria kuishi kinyume na kiapo. Mwamdhikaki Mungu wenu. Na jitihada zifanywe kujenga na sio kubomoa. Ndoa ifufuliwe. Inawezekana kwa kuamini. Ukiweza nitafute. Nitakushangaza sana. Karibu
 
Nimesoma upesi upesi na nikaamua niisome tena kwa ukimya mzuri nikagundua mawili au matatu yafuatayo;
  • Una tatizo la kutojiamini, huamini kama umeoa, huamini kuwa uan familia bado unaamini kwenye ujana
  • Una asili ya ubinafsi kwahio inakuapa shida sana ku-share na wengine, mkeo ndio mtu wako wa ku-share naye mambo mengi sijasema mambo yote nimesema mambo mengi.
  • una kiburi na kujikweza, hutaki kushindwa, hutaki kuelewa, ndio yako ndio NDIO na hapana yako ndio Hapana, misimamo ya style hii haiwezi kamwe kukupa amani
  • Umejiingiza kwenye mahusiano mengine kwa kisingizio cha kutendwa vibaya na mkeo, japo umeshindwa kusema kosa lako at least kwa ujumla wake tu
  • Hauko tayari kushaurika, hivyo utapotea zaidi badala ya kufanikiwa.
  • Wanawake wengi watakuumiza zaidi na hakuna atakayekupa faraja.
Hao wanawake unaowadanganya nao watakuja kuumia siku moja wakiujua ukweli, kwahio na wewe jiweke kwenye nafasi yao. Kumbuka kuna ujana na kuna utu uzima. Huwezi kuwa mtu mzima kisha ukaishi maisha ya ujana....utapotea.

The way forward; jifunze kujishusha, jifunze kuzungungumza, jifunze communication skills, soma maandiko mbali mbali jinsi ya kupunguza hasira na kiburi. Jichanganye na usitake kujiona wa maaana kuliko wengine, Brother, utaishi kwa amani tele out of that ujue kisukari, cancer, presha na mengineyo yanakusubiri. Pole, njoo inbox
Umeeleweka sanaa mkuu.....
 
jamaaaa unaongeeea ila sioni point yoyote zaidi unajieleza kuwa una wasichanq wengi ila mke mmoja
 
Imenitokea ghafla sana kila nikikumbuka matendo yake mabaya kwangu nashindwa kumsamehe na ninamchukia kupita maelezo. Kifupi hata nikimuona hasira inanipanda na hata mawasiliano naye sitaki.

Hua napenda kua mbali na watu na kukaa alone tu. Nimebadilika sana mpaka marafiki wananishangaa kua nimepoa mno na sionekani. Ila ukweli ni kua nimeumizwa moyo mpaka basi. Sitaki kujua habari zake na sitaki ajue zangu. Mpaka sasa hua nasafiri safari nyingi but hawezi jua nipo wapi na nafanya nini.

Nimekua na relationships na wasichana wengi mpaka kichwa kinauma ila sio serious relationships just for chating. Ila wao wanajua niko serious but ukweli kua niko frustrated. Nimeamua kuaachana nao but mmoja ndio ananiumiza kichwa maana yuko serious kupita maelezo.

Hata jinsi ya kumuambia kua niko married nashindwa kupata pa kuanzia. Ki ukweli niko confused sana na sioni faida ya kuoa. Nimekua kwenye shida for a long time na nahisi nikiwa single nitakua na uhuru. Sijajua nifanyeje ila nko bored balaaa na haya maisha ya ndoa.

Ndoa ya moto balaa mpaka hamu ya kuishi inapotea. Nashindwa kufikiria kurepair my relationship kitu nachofikiria ni divorce tu. Kwa sasa nimeamua kua kimya na kuishi alone kwanza nisome mchezo unaendaje but majaribu nayo ndio yanazidi kwani naposafiri nakua tempted sana.
Pole sana ila acha uzinzi,ndio maana laana haziishi,ukitaka ongeza mke,sio kuchezea watoto wa watu.
 
Mmmmmh hivi umri na wakati sahihi wa kuoa ni lini wajameni?
 
Imenitokea ghafla sana kila nikikumbuka matendo yake mabaya kwangu nashindwa kumsamehe na ninamchukia kupita maelezo. Kifupi hata nikimuona hasira inanipanda na hata mawasiliano naye sitaki.

Hua napenda kua mbali na watu na kukaa alone tu. Nimebadilika sana mpaka marafiki wananishangaa kua nimepoa mno na sionekani. Ila ukweli ni kua nimeumizwa moyo mpaka basi. Sitaki kujua habari zake na sitaki ajue zangu. Mpaka sasa hua nasafiri safari nyingi but hawezi jua nipo wapi na nafanya nini.

Nimekua na relationships na wasichana wengi mpaka kichwa kinauma ila sio serious relationships just for chating. Ila wao wanajua niko serious but ukweli kua niko frustrated. Nimeamua kuaachana nao but mmoja ndio ananiumiza kichwa maana yuko serious kupita maelezo.

Hata jinsi ya kumuambia kua niko married nashindwa kupata pa kuanzia. Ki ukweli niko confused sana na sioni faida ya kuoa. Nimekua kwenye shida for a long time na nahisi nikiwa single nitakua na uhuru. Sijajua nifanyeje ila nko bored balaaa na haya maisha ya ndoa.

Ndoa ya moto balaa mpaka hamu ya kuishi inapotea. Nashindwa kufikiria kurepair my relationship kitu nachofikiria ni divorce tu. Kwa sasa nimeamua kua kimya na kuishi alone kwanza nisome mchezo unaendaje but majaribu nayo ndio yanazidi kwani naposafiri nakua tempted sana.
pole mkuu jaribu kutulizana na kutafuta soln ya tatizo taratibu usikate tamaa haraka hivyo,maisha ni safari ndefu
 
Imenitokea ghafla sana kila nikikumbuka matendo yake mabaya kwangu nashindwa kumsamehe na ninamchukia kupita maelezo. Kifupi hata nikimuona hasira inanipanda na hata mawasiliano naye sitaki.

.
when did you last have sex with your wife??
 
Back
Top Bottom