Naomba ufafanuzi kwa haya niliyohighlight tafadhaliI realy dont think we should talk of me succeding someone who is 39years old!!! he is an epertriate with more than $9k a month. yaani kumuondoa hapo labda lije tinga tinga. huo mshahara hauendani kwanza na anachokifanya! lukily he is just working with an NGO!! ingekua private org angesharudishwa kwao1
Hey guys!.
I just feel that I hate my boss. I even Dont want to see him.
Namchukia sana.
Huyu jamaa hajui wajibu wake hata chembe! mzigo wote wa kazi umelala kwangu yeye muda wote yuko na yahoo massanger!!
yaaani!!!!!
grrrrr!!!!!!!!!!....................
I realy dont think we should talk of me succeding someone who is 39years old!!! he is an epertriate with more than $9k a month. yaani kumuondoa hapo labda lije tinga tinga. huo mshahara hauendani kwanza na anachokifanya! lukily he is just working with an NGO!! ingekua private org angesharudishwa kwao1
Duh! sitaki kuvunja ndoa za watu! sijapata ya xspin. so don worry zion Daughter
Hate is a strong word!...ms Vivian
hahahahah...kula vacation
What about my avatar Shapu?.
Inamtoa nyoka pangoni mwake!!! na ni hatari sana.
Inamtoa nyoka pangoni mwake!!! na ni hatari sana.
julius said:Oh yeah...nyoka kweli katoka pangoni. You better watch out patna
okay shapu i guess umeshapata jibu lako now.
I lost in the bush like George Bush!! Looh
poor you,as you know siwezi kukusaidia huko kwenye bush.
Ama kweli unaringa weye binti marinngo!
Kwani kama nisingekuwa kwenye bush ungenisaidia saidia je?
Hivi wewe mbona mgumu sana kuelewa? Hivi unataka nini hasa kutoka kwa Binti Maringo?
Mhh... samahani mkuu, sikujua kama wewe mdau. Nisamehe sirudii tena. Ila mweleze siyo vizuri hivyo kutuwekea wengine...