I guess huku ndo kwenda na wakati.

Maadili yanayozungumzwa kuwa yamepotoka ndio kama mifano hiyo , mwelevu husubili kuambiwa, hwa ndugu wana kaka, dada , baba , mama na hata watoto, sijui hapo taifa wanalipeleka wapi mimi nadhani, watu wamekuwa wagonjwa wa akili bila kujitambua jumuia inaombwa ikemee tabia hizi, zisiachiwe kuendelea, huko sio kustaarabika, ni kuwa baaradhuli. watu wakemee popote mambo haya yanapoonekana (wazo la shetani ni mtu mwenyewe kutenda kinyume na taratibu za walio wengi-- huo sio ustaarabu hata kidogo watu kukaa uchi.ni ushetwani)
 
Mimi kwa kweli msimamo wangu ni tofauti kabisa na watu wengi.. Ya nini unamhukumu mtu kwa mavazi tu? Kwani akivaa hivyo amekuadhiri vp? Mtu akifanya ujinga au la maana hiyo ni yeye sio mimi, kama kitu sikipendi basi sikifanyi, na nikimwona mtu anakifanya namwacha kwa kuwa yeye ni yeye na mimi ni mimi. Ww una lako jambo. LIVE URE LIFE.
So you want to tell us kuwa ingekuwa mpo kwenye boat moja mwenzio akahisi kiu akaanza kutoboa chombo ungemtizama tu? Jamii kukosa maadili ndo kama hivyo. Do we want to walk the streets covering our sons and daughters faces/eyes ili wasione yasiyofaa, lets be responsible adults and raise responsible kids who in turn will be responsible adults in the future. Kila kitu na mahala pake. Kama wataka kukaa bila nguo kuna mahala pake not in public!
 
Hivi picha hii imepigwa sokoni, stendi ya basi, darasani, barabarani, chumbani, club au bafuni? Kama yuko chumbani na mpenzi wake au club au faragha yoyote ile tatizo liko wapi. Kwanza hujatuambia picha imepigwa wapi na alikuwa anafanya nini ili tuweze kufanya analysis ya hoja yako. Je wewe ukipigwa picha chumbani kwako ukiwa na chupi tu au hata mtupu kabisa kisha ikawekwa hapa tuijadili kwa namna ambayo umeleta mada yako unadhani tutasemaje? Nenda Beach ukawapige picha watu wanopata upepo halafu utuletee hoja pia... Ungetuletea picha akiwa barabarani na kutoa hoja kama hiyo ingeleta sense otherwise umetuburudisha kwa picha nzuri tu na hoja isiyojadilika.
 
Jamani dada zetu,
Kama huku ndo kwenda na wakati basi mnatutia aibu. Hebu angalia hii picha hata chupi hajavaa, ndo uvaaji gani huo?



attachment.php



View attachment 36540

Khaaaa. Kujua mtu hajavaa chupi si mpaka umchungulie jamani. Hivi ni wangapi tunaopishana nao barabarani tunaweza kujua kuwa wamevaa chupi au hawajavaa. Kwa hoja ya kuvaa chupi bado nahitaji muongozo. Hivi kuvaa chupi ni sheria ya mavazi, mila na desturi, au fashion. Mkuu ungestress kwenye maeneo mengine lakini sio chupi. Mtu anaweza akavaa vizuri tu bila chupi na akaonekena mtanashati na mwenye maadili kuliko aliyevaa chupi. Jaribu kufikiri angekuwa amevaa chupi usingepost hii picha au ungestress kwenye maeneo gani?
 
Huyu si Masalu Manyenye,mbona kavaa kawaida tu.Ndo ubaya wa kuweka picha FB
 
Mimi kwa kweli msimamo wangu ni tofauti kabisa na watu wengi.. Ya nini unamhukumu mtu kwa mavazi tu? Kwani akivaa hivyo amekuadhiri vp? Mtu akifanya ujinga au la maana hiyo ni yeye sio mimi, kama kitu sikipendi basi sikifanyi, na nikimwona mtu anakifanya namwacha kwa kuwa yeye ni yeye na mimi ni mimi. Ww una lako jambo. LIVE URE LIFE.

Asante Apollo. Mtu huwezi kubadilisha tabia za watu wengine hata ufanye nini! Kila mmoja ana mitazamo yake katika maisha. Ukionacho wewe kuwa ni kibaya mwingine anaona ni sawa tu. By the way, yeye (Indume Yene) anajuaje kuwa hajavaa chupi? Kama hicho cheusi kinachoonekana ni chupi je? Kwa nini akimbilie kusema kuwa hajavaa chupi?
 
Alikuwa anasubiri mteja wake. Hakuwa barabarani. Mtu wake atavutiwa na mambo yao yatakwaenda. yuko huru.
 
Back
Top Bottom