Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,239
- 4,061
Pamoja na yote, Manula sio KIPA ila ni the most loved one , sijajua ni kwanini. Jamaa huwa haoni movement za mpira sio kama DIARA. Mmmh kweli Uchawi upo.
Hoja ya msingi, je ni wakati gani REFA analazimika kwenda kuangalia Var?
Je, malalamiko ya wachezaji sio kigezo cha yeye kufanya hivo?
Haya magoli yote yametoka kwa wachezaji wa SIMBA SC , ni aibu na hasara
Hoja ya msingi, je ni wakati gani REFA analazimika kwenda kuangalia Var?
Je, malalamiko ya wachezaji sio kigezo cha yeye kufanya hivo?
Haya magoli yote yametoka kwa wachezaji wa SIMBA SC , ni aibu na hasara