I got it! Mheshimiwa Spika mnataka kutuloga!!?

I got it! Mheshimiwa Spika mnataka kutuloga!!?

Wananchi tunalipishwa fedha za kodi zinazoenda seriklini, lakini cha ajabu wanatuambia wanaokoa fedha tulizilipia kwa kuzuia chombo kinachotoa taarifa live ya jinsi fedha za kodi zianatumiwaje na serikali,, tunachotaka ni taarifa original live hivi kweli budget kwa mwaka ni zaidi ya Trilioni 10 n budget ya kurusha live bunge ni Bilioni 4.2, Taarifa kwa umma kuhusu serikali yao ni haki ya kimsingi
 
Kambini kwetu? Unanchekesha.

Labda huelewi kuwa mtu wa kwanza kumgundua huyo mtu kuwa ni mnafik na fataani humu JF ni mimi na nikampa kavu kavu na za uso miaka mingi sana iliyopita. Members wa JF wa zamani watamkumbuka.

Huyo ni mnafik, fataani, muongo, mzushi na mzandik namba moja humu JF kama si Tanzania hii.

Ni mbaya huyo mtu kuliko kuzimu. Ni bora ukutane na koboko kuliko huyo fataani.

Wengi walikuwa wanamtetea nilipokuwa nampa za uso, leo wananielewa na walionishambulia kwa ajili ya kusema ukweli kuhusu huyo mtu, sasa inawabidi waniombe msamaha.

Huwa sikisii.

Kwa ulivyoandika inaonesha ulikua na fundo rohoni la chuki binafsi!!!
 
MSEZA MKULU

Kwanza hebu ifanyie editing hiyo post yako, hueleweki.

Wacha kiherehere.
Umenitisha kidogo ulivyomuita PUNGUANI mtu bila sababu au ndio ukongwe.
Ila yote kwa yote ongeza busara kwenye mwenendo wako utakuwa bora kuliko unavyodhani.
Hongera kwa kutambua udhaifu Wa MM wakati watu wakimuona kama JF geneos.
 
Hili zee litakuwa ni lichawi? Hakuna kitu lilichoridhika kwenye utawala wa raisi kikwete likiwa na lile zee jingine lishindia mihogo!!! Kimbe ni minafiki namba moja
 
Umenitisha kidogo ulivyomuita PUNGUANI mtu bila sababu au ndio ukongwe.
Ila yote kwa yote ongeza busara kwenye mwenendo wako utakuwa bora kuliko unavyodhani.
Hongera kwa kutambua udhaifu Wa MM wakati watu wakimuona kama JF geneos.

Neno la kawaida hilo, isiwe tabu.
 
Hili zee litakuwa ni lichawi? Hakuna kitu lilichoridhika kwenye utawala wa raisi kikwete likiwa na lile zee jingine lishindia mihogo!!! Kimbe ni minafiki namba moja
Mwanakijiji ni chuki za kupindukia hasa zilizochanganywa na kukosa maslahi ndizo zilimfanya auponde utawala wa JK!!
 
mwenye hii ID itakuwa aliiuza au aliigawa....sio mtu mmoja huyu wa 2013 na 2016 ,.kweli usimuamini bin adam
 
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg


Mzee Mwanakijiji amejiumbua kwa maandishi yake mwenyewe
Kama ni "KUBONG'OA" basi yeye ndio kaanza kubong'oa
Nimejaribu kupitapita huku na huko,na hapa ndio msimamo wake wakati wa Bunge la Katiba
 
Duhhhh pole sana.
Nimesoma thread yako ya leo ambayo sikukubaliana nayo.

Nimekutana na hii nikaona point kibao ulizo toa.

Ningeombe tu kuuliza kwa nini umebadili msimamo wako ?
Adui yako muombee NJAA..utakiwa umemmaliza...
 
Mwanakijiji ni wa kuombea huyu, awezi badilika kwa ushauri nasaha za kibinadamu. Lazima tufunge na kumwombea. Mzee kwishney.

Cha kusikitisha alijijengea heshma kubwa, kwangu mimi, MM ilikuwa ni kama nembo ya JF, weredi, maono nk.
Mwenzetu umepatwa na nini. Dah, kumbe wewe ni mahili hivi wa kuhamisha magoli.

Kweli 'hujafa hujaumbika'.
 
Back
Top Bottom