I got it! Mheshimiwa Spika mnataka kutuloga!!?

I got it! Mheshimiwa Spika mnataka kutuloga!!?

Sijasoma wala sina haja ya kusoma anabowa.
Duh, ukiona vyaelea, vimeundwa...najua mwenye kusema uongo anatakiwa atunze kumbukumbu, je mnafiki? Ni vigumu kuamini aliyesema mwaka 2013 kuwa uamuzi wa Bunge kutooneshwa live hauwezi kufanywa na watu wenye akili timamu, miaka mitatu baadaye kudai Bunge kuoneshwa live ni upuuzi...ni mtu yule yule!

Flashback 2013 - I got it:!! Mheshimiwa Spika mnataka kutuloga!!!?




Fastforward 2016 - Neno la Kuudhi: Hakuna Haki ya Kikatiba ya Kuonwa "Live"
MM you've been caught with your pants down. Chutama mzee mwenzangu.
 
Ulizaneni wenyewe huko kambini kwenu!!

Kambini kwetu? Unanchekesha.

Labda huelewi kuwa mtu wa kwanza kumgundua huyo mtu kuwa ni mnafik na fataani humu JF ni mimi na nikampa kavu kavu na za uso miaka mingi sana iliyopita. Members wa JF wa zamani watamkumbuka.

Huyo ni mnafik, fataani, muongo, mzushi na mzandik namba moja humu JF kama si Tanzania hii.

Ni mbaya huyo mtu kuliko kuzimu. Ni bora ukutane na koboko kuliko huyo fataani.

Wengi walikuwa wanamtetea nilipokuwa nampa za uso, leo wananielewa na walionishambulia kwa ajili ya kusema ukweli kuhusu huyo mtu, sasa inawabidi waniombe msamaha.

Huwa sikisii.
 
Ni wazi sasa MM anatetea kila kitu cha derikali hii si kwa sababu anaamini kwa dhati anayoyotea bali ni kwa sababu anatska tu kutofautians ns kila hoja ya upinzani. Kwa maneno mengine anaongozwa na chuki. Anatofautiana tu for the sake of it! Hii ni aibu kws mtu aliyeheshimika km yeye MM.
 
Nimfuta officially.
Jinsi alivyotusumbua akiitetea kauli kama hii ya polepole nikaona Mzee Wa maana japo alibaki ananing'inia kwenye Uzi Wa buibui.

Kabla hujaanza kutetea mfumo sisiemu, jitahidi ureview background yako. Maana watu weñgi wanaingia km warussi Wa Magufuli wanaingia kufall in love na ccm bila kujijua.
 
Jambo lilelile..mtu yuleyule....misimamo tofauti ndani ya miaka mitatu.Unategemea huyu binadamu wa hivi ataacha kumtetea Polepole kukubali kuwa DC na huku kukiwa na rekodi kuwa haziungi mkono hizo nafasi?

Ila alivyo huyu mwandishi....a man full of himself.....atakuja hapa na talalila nyiiiiiingi kuspin kuwa haya mambo ni tofauti na makala yake ya 2013 'bado inasimama'!! kwa jambo lile la awali.....na hii ya sasa kwa hili jambo "jipya"....Alifikiri amebong'oa gizani kumbe sivyo,wote tunamshuhudia.
 
Kambini kwetu? Unanchekesha.

Labda huelewi kuwa mtu wa kwanza kumgundua huyo mtu kuwa ni mnafik na fataani humu JF ni mimi na nikampa kavu kavu na za uso miaka mingi sana iliyopita. Members wa JF wa zamani watamkumbuka.

Huyo ni mnafik, fataani, muongo, mzushi na mzandik namba moja humu JF kama si Tanzania hii.

Ni mbaya huyo mtu kuliko kuzimu. Ni bora ukutane na koboko kuliko huyo fataani.

Wengi walikuwa wanamtetea nilipokuwa nampa za uso, leo wananielewa na walionishambulia kwa ajili ya kusema ukweli kuhusu huyo mtu, sasa inawabidi waniombe msamaha.

Huwa sikisii.

Mm wa kwanza dada Faiza Fox niwie radhi, kwa hakika uliyosema ni sahihi, huyu jamaa daah nimekona nae
 
Zee zima linakua lanafiki...sasa njoo ukane bandiko lako hapa mfuyuuuu
 
Nisikijuwe mimi? Mie nnamjuwa huyo kuwa ni mnafik na kigeugeu kwa miaka mingi sasa, toka enzi za Jambo Forums nilikuwa nnampa za uso.
Hongera zako kama ndivyo.
Nnamjuwa=ninamjua
Hizo shule mlienda kusomea ujinga? Hahaha.
Nimefurahi kwa kumkana MM pamoja na kwamba anajifanya yupo kambi yenu. Yeye na Dr Mihogo wote wanafiki wakubwa!
 
Duhhhh pole sana.
Nimesoma thread yako ya leo ambayo sikukubaliana nayo.

Nimekutana na hii nikaona point kibao ulizo toa.

Ningeombe tu kuuliza kwa nini umebadili msimamo wako ?
 
Ni wazi sasa MM anatetea kila kitu cha derikali hii si kwa sababu anaamini kwa dhati anayoyotea bali ni kwa sababu anatska tu kutofautians ns kila hoja ya upinzani. Kwa maneno mengine anaongozwa na chuki. Anatofautiana tu for the sake of it! Hii ni aibu kws mtu aliyeheshimika km yeye MM.
Exactly....nilimwambia hivi juzi tu kwenye ule uzi wa Polepole.
 
Lainisha
E="FaizaFoxy, post: 15987967, member: 43551"]Unanifundisha mimi kuhusu mada ewe punguani?

Wewe unafik wa huyo anaejiita Mzee Mwanakijiji unaujuwa leo?

Niulize mimi na wana jambo forums, nimeanza kumjuwa unafik wake wakati wote humu wanamtetea.

Huwa sikisii.[/QUOTE]
Lainisha lugha we mama, mbona hata bila neno PUNGUANI tutakuelewa au unajua kurekebisha spelling tu. Busara kapuni.
 
Back
Top Bottom