I got it! Mheshimiwa Spika mnataka kutuloga!!?

I got it! Mheshimiwa Spika mnataka kutuloga!!?

Hakuna uchawi juu ya kweli na mwisho wao kutawala umefika.Mungu atajilipiza kisasi kwa wote wenye mawazo ya fitina na maovu wanayoyafanya kubaka demokrasia wakidhania kuwa watatawala milele.Kutunyima haki ya msingi ya kusikiliza kama wawakilishi wetu wanatusemea matatizo yetu bungeni haikubaliki hata kidogo ubabe huo utazidisha hasira kwa wananchi na kuichukia ccm
 
Mkuu mwanakijiji hata utafiti wa CNN ulionecha mwaka jana kuwa kwa ukanda wa Afrika Mashariki, Tanzania inaongoza kwa imani za kishirikina kwa asilimia zaidi ya 90. Maneno haya nakubaliana nayo mia kwa mia kwa kuwa si mara moja nimesikia habari za viongozi wengi walio madarakani sasa hivi, kuwa walienda kwa mganga huyu na yule (wa Kienyeji) kutafuta dawa za kujizindika. Naamini hata mauaji ya albino yanaweza kuwa yamechagizwa sana na tabia hii ya viongozi. Wengi wa Viongozi hawaamini kuwa wanaweza kupata vyeo kwa kufanya kazi kwa bidii, badala yake wanaamini kwa nguvu za kishirikina.
 
Nasema hivi, kuonyeshwa live kwa wawakilishi wetu bungeni sio hisani ni wajibu wa mamlaka husika na hivyo sio ombi, tunataka live na sio vinginevyo, let them try ignorance.
 
Kuna kitu kinaendelea kati ya spika na naibu wake!!!!!!!!!!! Haiwezekani wote wawili wanafanya mambo kama wanalala na kuamka pamoja! sio bure hawa wawili
 
Inakuwa rahisi kuthibiti vyombo vya habari juu ya kuripoti shughuli za Bunge 'live' kuliko kudhibiti nia haram za wapinga maendeleo nchini
 
Hii ni kutokana na kuchagua wenye imani za kichawi kuongoza bunge
 
Mmesahau kuwa UNGA ulimwagwa humo bungeni enzi ya SS? Hatua hiyo ya kutoonesha moja kwa moja kikao cha bunge kimelenga kuficha wananchi wasione UDHAIFU wa spika, naibu na wenyeviti wake katika kuendesha vikao.
 
Hahaa ha haaaaaa
tumbo kitu kibaya sana kwa kweli
cc Nyani Ngabu

Ukimbana sana kuhusu kubadilika kwake anatumia mbinu za kujifanya mkongwe na ambae hashindwi kwa hoja, kisha anaanza kukupotosha kwa kukwambia uonyeshe wapi amebadilika, inasikitikisha sana kwa kweli kwa mtu wa hadhi yake na mkongwe wa mitandao.

Bora straight ukiri kwamba mwanzoni nilikua na mtazamo huu sasa nimebadili mrengo na sasa nipo mrengo huu, na huo ndio uungwana sio kila wakati ww kazi yako kujiona upo juu tu na kila unachofanya ni sahihi.

Mm binafsi nilikua simuamini sana Magufuli, ila amenirejeshea imani walau kdg tofauti na kipindi kileee, na kimsingi anapofanya vema asifiwe kwa hilo na akipotoka akosolewe na kushauriwa maana yeue ni human being ni lazima apongezwe na kukosolewa.

Otherwise upuuzi wa kusifia kila kitu na kuponda kila kitu mm naoana haufai kwa ustawi wa taifa, kikubwa tujengane na kuacha unafiki
 
Back
Top Bottom