I got it! Mheshimiwa Spika mnataka kutuloga!!?

I got it! Mheshimiwa Spika mnataka kutuloga!!?

Ni Rasmi sasa Makinda amebakiza kitu kimoja tu..KUJIUZULU...Hili la kuzuia bunge kuonyeshwa ni teke lake la mwisho la kukata Roho!
La msingi Ndugai azisome alama za nyakati na kutengua uamuzi huu. Tatizo ni kwamba tangazo la waziri wa habari na "kadhalika" lina baraka za raisi na hakika ni ni teke la mwisho la kukata roho na mwanbzo wa u-dictator.
 
Ni kazi kubwa sana kujijengea heshima na kuaminika,ila ni kazi ndogo sana kuporomosha heshima na uaminifu ulioujenga kwa muda mrefu! Tunasubiri soon uanze kula matapishi yako na ndipo watu watajua upande wako wa pili!
 
Wabunge wengi wa CCM wametoka wapi? Kuna mtu ameandika mahali fulani humu kuwa "uchaguzi una matokeo". Sasa watu ambao hawana wingi Bungeni vipi wao ndio waamue kama vile wao ndio wengi (majority)?

My brother Mwanakijiji,

Wenzetu wanasema...be careful with what you wish for..you may get it.

Tusiangalie personalities. Tuiangalie Tanzania ya miaka 50-100 ijayo. Ni kweli tuna nia ya kujenga Tanzania yenye demokrasia na uchumi endelevu kwa kulifungia bunge kwa wananchi? Lets not justify unjustifiables..simply kwa sababu ya mapenzi yetu kwa watawala ya mda mfupi. Huwezi I repeat..you cannot justify decision ya serikali kufungia bunge. I like Magufuli I believe ni Kiongozi mwenye nia ya dhati kuisogeza Tanzania mbele. Lakini kwa hili nadhani tunakosea. Utawala wowote wenye nia njema na wananchi wake..lazima uwe tayari kukosolewa. What happened to the notion of accountability? Hivi kuna tofauti gani ya Mbunge kuwa accountable kwa waliomchagua na mimi ninayefanyiwa performance evaluation na mwajiri wangu? Otherwise kama siyo accountability kwa nini waogope kuonekana kwenye luninga?

Nitakuwa wa mwisho kuhukumu mtu humu....na wala siamini kwamba Mwanakijiji anamuunga mkono Magufuli kwa sababu ya ukanda au dini yake..far from that! lakini tusikubali mapenzi yetu ya mda mfupi kwa watawala yakatufanya tusahau wajibu wetu kutetea yaliyo mema na yenye tija kwa taifa letu. Let us ask ourselves Tanzania itakuwa wapi miaka 20 ijayo. Na wajibu wetu ni upi kuifikia hiyo Tanzania.

Mwanakijiji tangu nimekufahamu na kukusoma ...umekuwa muumini mzuri wa wajibu wa taifa letu kujenga institutions mahiri ambazo zitadumu baada ya sisi/watawala kufutika dunia hii. Sasa ndugu yangu..do we achieve this by closing bunge from wananchi? Hapana....tusitumie kalamu zetu kupoteza umma. Maandishi hudumu. Ingawa ni sahihi kuwa independent thinker..but use your power positively to influence society for the better tomorrow.

Tafakari chukua hatua.
 
Nadhani watu mnapata shida; kwa sababu labda kusoma ni kugumu au kuelewa ni kugumu. Hakuna ubaya wowote wa TV kuoneshwa "live". Sijawahi kusema "ni vibaya kuonesha TV" au ni "haipaswi watu kuona kinachoendelea Bungeni". Sababu iliyotolewa wakati ule ilikuwa ni sababu ya kipuuzi kutaka kuzuia kurusha TV "live", sababu iliyotolewa sasa hivi siyo ya wakati ule - sidhani kama watu wanaona tofauti. Lakini zaidi labda inabidi niendeleee kuwaelimisha wengine. Wanaodai hadi kususa waonekane kwenye TV wanazungumzia suala la haki yao kuonwa au kurusha matangazo live. Hii haki haipo.

Nadhani ipo haja ya kuchukua hatua ya lazima ya kuufunga huu mjadala tena.

Sema kweli, uadui wako ulikuwa ni kwa Kikwete.

Mpaka sasa roho inakuuma kuona kuwa bado ni mwenyekiti wa CCM na bado serikali inamuhitaji sana hususan kwenye Diplomasia za Kimataifa.

Kikwete yupo juu sana.
 
Sema kweli, uadui wako ulikuwa ni kwa Kikwete.

Mpaka sasa roho inakuuma kuona kuwa bado ni mwenyekiti wa CCM na bado serikali inamuhitaji sana hususan kwenye Diplomasia za Kimataifa.

Kikwete yupo juu sana.

FaizaFoxy huyo mzee mwanakijiji uko naye team mmoja kwa sasa kwa hiyo pambaneni tu
 
Kama ni kweli usemayo,basi mtakuwa sawa manake wewe una PHD ya huo ujinga na pengine chuki zako kwa mwanakijiji ni kwa vile tu mmetofautiana imaan.
Nawe pia ukisikia mafanikio ya mkatoliki si unatamani dunia ipasuke?
Naamini jamaa(mwanakijiji)kakengeuka kwa sababu ya chuki binafsi na EDDO na si kwa sababu ya ukatoliki wa mkuu wa kaya.
offcourse mwanakijiji amekuwa akila matapishi yake kwa kipindi hiki labda kwa sababu ya njaa zake tu na sio kwa sababu ya imani yake.
Back to the topic...

Ukatoliki tu hakuna zaidi.

Kuhusu mimi labda wewe si mkristo, kwa sababu sijaona mkristo ambae hamuoni Muislam kuwa ni mdini.

Hilo mbona halinistui na ni sifa kwangu.

Tatizo wewe kuwa mdini.

Hapo sasa.
 
Mimi ni ex-seminarian kstika ngazi ya digrii ya falsafa. Nimeishi ndani ya kanisa katoliki tsngu utoto mpaka ukubwani nilipoamua kuchukua mwelekeo mwingine. Hivyo nidhuhudie kwamba ulichokisema kuhusu MM na udini ni kweli 90 percent. MM is a fanatical Catholic.

Waulize Pasco lusungo FaizaFoxy ....uadui wa Mwanakijiji na Kikwete na urafiki
wake kwa Dr Slaa na why anam support Magufuli......uone kama role ya imani haipo
 
Wadau nashangaa mnahangaika na mtu ambaye ameshakubali kubong'oa, hawezi kuja na hoja za msingi za kutete ubong'oaji wake.
Nashangaa anaposema sababu zilizotolewa na Nape amezielewa na amezikubali ila anashidwa kuzitetea hizo sababu kisa ameshabong'oa.
 
Nilianza kumtilia mashaka Mzee MM alipopinga vikali Chadema kuungana na CUF na NCCR ili kutoa mgombea mmoja wa urais. Nilimshangaa sana kwamba pamoja na ukongwe wake hakuons umuhimu wa hasa Chadema ns CUF kushirikiana. Eti anasema Chadema kimeshakomas kiende oeke yake . Wakati huohuo watanzania wengi walikuwa wanahimiza vyama vya upinzani viungane! Ila baadaye nilikuja kugundua kumbe tatizo lake lilikuwa CUF ... Kumbe ninini basi? Na alihisi chadema wakiungana na CUF nafasi ya Slaa kugombea ingekuwa shakani!
 
Sad fact is asilimia kubwa sana ya watanzania ni sampuli ya MMK, Sema tu nyani haoni kundule!!
 
Hili zee lilijozolea umaarufu kuwa lina uchungu na hii nchi, kumbe lilikuwa na maslahi binafsi, daaah kweli bora mchawi kuliko haya manafiki
 
Hata Dr Slaa wenye kuona mbali tulimshauri kwamba km ameamua kujiweka pemveni basi akae kimya kwa ssbabu angeeleweka zaidi na kujijengea heshima kubwa. Lskini kitendo cha kukubali kutumika na watawala ili awasaidie kwenye uchaguz uliopita na eventualitues za yeye kuingia kwenye huo mtego kumemuacha akidhalilika hadi kulaximika kuikimbia nchi!
Kukaa kimya hasa katika kipindi cha utata au kuepuka kutoa misimamo katika maxingira ya utata ni hekima ambayo ni nadra wachumia tumbo kuwa nayo!
 
Tumbo bana linawavua nguo watu wengi....
12642710_785205048252878_8676523272191672910_n.jpg
 
Back
Top Bottom