Maneno yangu yanasimama kama yalivyo; uzuri wa watu kuona Bunge rejea nilichosema wakati ule Nape alivyotoa hili pendekezo; bado niliamini Bunge ndio lina wajibu huo. Siamini na hakuna mtu amenishawishi hadi hivi sasa kuwa kuna haki ya kuona Bunge "live" kwa vile ni haki fulani. Sasa hapa gumu ni lipi hasa?Duu aisee, sijaamini umekuja na utetezi wa namna hii, kimsingi swali langu la msingi hujalijibu mzee wangu Mwanakijiji, bado unamsimamo ule ule au umeamua kuhama mrengo?? Uungwana ni kukiri kuhama kambi na sio unafiki wa kujifanha hatujakuelewa, tumekuelewa sana, labda ww ndio hujielewi
Mzee mwanakijiji anajua bunge letu wengi ni wabunge wa CCM,anawasikia kila siku katika michango/mikutano na mazungumzo yao wanaunga mkono wazo hilo,Leo mwanakijiji huyu anapendekeza bunge hilo lipige kura.Mwanakijiji niliyekuwa nasoma mandiko yake kwenye gazeti la Tanzania Daima miaka ya 2008 siyo huyu.
Maneno yangu yanasimama kama yalivyo; uzuri wa watu kuona Bunge rejea nilichosema wakati ule Nape alivyotoa hili pendekezo; bado niliamini Bunge ndio lina wajibu huo. Siamini na hakuna mtu amenishawishi hadi hivi sasa kuwa kuna haki ya kuona Bunge "live" kwa vile ni haki fulani. Sasa hapa gumu ni lipi hasa?
Hii kali ya mwaka!Tatizo la Mzee Mwanakijiji ni kujifanya ametoka katika Sayari ya mars kwamba anauelewa sana wa mambo kuliko mtu yeyote lakini kilichoko nyuma ya pazia ID ya mwanakijiji ilikuwa inatumiwa na watu mbali mbali wenye uwezo wa uelewa wa mambo..Tangu hao watu wameacha kutumia hiyo ID baba Tony amebaki mweupe na si ajabu hakufahamu kuwa kulikuwa kuna andishi lilotumia jina lake ambalo linamuacha utupu.
Maneno yangu yanasimama kama yalivyo; uzuri wa watu kuona Bunge rejea nilichosema wakati ule Nape alivyotoa hili pendekezo; bado niliamini Bunge ndio lina wajibu huo. Siamini na hakuna mtu amenishawishi hadi hivi sasa kuwa kuna haki ya kuona Bunge "live" kwa vile ni haki fulani. Sasa hapa gumu ni lipi hasa?
Shameless ........unafikiri watu hawaoni through you?
hata kwa maandishi we can see through you....
Na soon ukishapewa hiko cheo ndo tutakuona uso wako unavyo kusaliti wakati ukiongea yale usiyoyaamini...
many cant wait....
Wabunge wengi wa CCM wametoka wapi? Kuna mtu ameandika mahali fulani humu kuwa "uchaguzi una matokeo". Sasa watu ambao hawana wingi Bungeni vipi wao ndio waamue kama vile wao ndio wengi (majority)?
Hapo unapochomeka ukatoliki unakosea.
Vipi miaka mitano nyuma umewahi kuandika hivi?vipi ulipozema tusikubali kinyimwa haki ya kuangalia bunge live wakati huo wapinzani walikuwa wengi bungeni?Wewe ni mnafiki wa mchana kweupe.AibuuuuuuuuWabunge wengi wa CCM wametoka wapi? Kuna mtu ameandika mahali fulani humu kuwa "uchaguzi una matokeo". Sasa watu ambao hawana wingi Bungeni vipi wao ndio waamue kama vile wao ndio wengi (majority)?
hahahahahaha....hii ni zaidi ya ukubwa jinga...hata aibu huoni ya maneno yakoManeno yangu yanasimama kama yalivyo; uzuri wa watu kuona Bunge rejea nilichosema wakati ule Nape alivyotoa hili pendekezo; bado niliamini Bunge ndio lina wajibu huo. Siamini na hakuna mtu amenishawishi hadi hivi sasa kuwa kuna haki ya kuona Bunge "live" kwa vile ni haki fulani. Sasa hapa gumu ni lipi hasa?
Hata mimi nimesmell uenzetu katika Ukatoliki ndiyo maana popote mkatoliki yupo mzee mwanakijiji naye yupo!.
Siyo yeye tu, hata John Mnyika, kususa kwake na Ukimya wake kipindi cha kampeni je ni kwa sababu mwenzie katika imani alibadirishiwa gia angani?, lakini pia
Kwa nini amuangushe mwingine japo itikadi tofauti?, akaamua solidarity iwe forever kwa kupiga kimya, na hata sasa yuko kimya?
Anatetea raia mwenzie wa Vatican?.iyo mbaya lakini
Huyo anaejiita Mzee Mwanakijiji ni mdini tena Fataani wa udini nambari moja.
Hana tofauti na anaejiita Pasco wa JF.
Hao wakisikia mafanikio ya Muislam / Uislam basi roho zinawanyonga, matumbo yanawakata, mioyo yao ina maradhi na maradhi yao kila kukicha kwani mafanikio ya Waislam / Uislam yanaongezeka kila kukicha.
Shameless ........unafikiri watu hawaoni through you?
hata kwa maandishi we can see through you....
Na soon ukishapewa hiko cheo ndo tutakuona uso wako unavyo kusaliti wakati ukiongea yale usiyoyaamini...
many cant wait....