Alinda
Platinum Member
- Jun 26, 2008
- 1,695
- 2,152
Mnapata shida sana..ugomvi uko kwenye kudai kama haki...na pe lendekezo langu lina simama. Badala ya kususa i gepigwa kuwa wabunge waamue. Lakini huwezi kudai kuwa ni haki. Na inawezekana kweli wanataka kutuloga! ..suala ni suala la haki...Ni vizuri. Kuona mijadala lakini huwezi kudai kuona kama suala la haki. Mnaofikiri nimejigeuka ni kwa sababu hamnisomi. Sijasema mahali popote sasa hivi kuwa si nambo jema au haifai bunge kuoneshwa "live" napo wengine kutokana na kufikiri nimesema nini wanashindwa kuelewa nilichosema.
Kijana hacha kujitoa ufahamu, wakati unajipinda kuandika hii nakala ndefu na vibwagizo vya kejeri hakufahamu kuwa unachodai si haki? Huu unafiki mpaka lini jamani yaani kijana mdogo kamawewe unajitoa ufahamu kwa ajiri ya tumbo lako..