Hahaha I second that, if not divine intervention!! Au yuko insecure mazee!! Inawezekana unamiliki kitu ambacho we mwenyewe huamini subconciously!!
Tuongee ukweli hivi mtu akikupenda kwa dizaini hii kweli utaipenda?
i am very possesive of my girlfriend that i cant stand any man talkn to her, this has become too much that m actually drivin her away but i cant help it..
Hii nadhani ni dalili ya obssesive compulsive disorder na/ au psychosis (wehu). Halafu eti kuna wanawake wanapenda hii. Mungu wangu!!!!!!!!!!!!!![/QUOTE]
kwa kweli hata mimi nashangaa sana!
i am very possesive of my girlfriend that i cant stand any man talkn to her, this has become too much that m actually drivin her away but i cant help it..
Hii nadhani ni dalili ya obssesive compulsive disorder na/ au psychosis (wehu). Halafu eti kuna wanawake wanapenda hii. Mungu wangu!!!!!!!!!!!!!![/QUOTE]
kwa kweli hata mimi nashangaa sana!
Lakini unajua nini...kuna wanawake ambao bila kudundwa na waume zao hawajisikii kuwa wanapendwa. Ndio yale yale ya kushangaa ya Musa na kustaajabu ya Firauni. I done seen and heard it all.......
Dah! Buji buji, that's not wise and comfortable to your partner I swear to you. I've been there. Yaani ni kero sijawahi ona. Ina maana you limit your partner to do even some development things since una wasi wasi na watu atakaonana nao. Yaani mi wangu alikuwa na wivu kama wewe. Yamenishinda nimemkimbia fasta. Una infiriority complex au? huamini kama upo peke yako hapo au? manake wangu alikua akihisi kila saa anaibiwa. Is it the same? Kama ndio hivo, utamkosa huyo beibe wako soon am telling you. BINADAMU AWAYE YEYOTE ANATAKA UHURU.... KUMCHUNGA CHUNGA NA KUMFUATA FUATA INAMFANYA AWE SO UNCOMFORTABLE AND STRESSED!!!
Well said Mdada nimekugongea kale kabatani ketu!sitaki kabisa kupendwa hivyo, si mapenzi hayo ila obsession. Labda niongee kisociolojia zaidi na kwa wale ambao hawaelewi hiyo ni dalili mbaya sana, ningekuwa namjua huyo mdada ningemshauri akimbie mapemaaaaaaa, maana watu wa hivi huwa wana matatizo ya inferiority complex, in their mind they think they dont deserve you na hivyo wanakuwa na wasi=wasi saa yote kwamba watanyang'anywa au kukimbiwa. matokeo yake wanakuwa so defensive na kuwa protective na jelousy ya kii hivyo, hawa ni wepesi kufanya mashambulio ya mwili( domestic violence) au hata kuua. Kwa hiyo i wouldnt advise a friend au mdogo wangu to be involved in a r/ship with such kind of a person. Ndio hizi type za watu ambao huwakaztaza wake zao kufanya kazi wakidhani wataibiwa, ndio hawa ambao huwazuia wake zaokwenda hata sokoni na kuwachagulia nguo za kuvaa. The lis is sooo long i could write till morning lakini kibaya zaidi ni kwamba hawa ndo type za wanaume ambao ni wepesi kucheat pia. So ningekushauri Bujibuji utafute wataalamu, kwa sasa nakureffer kwa dada Sadaka wakati nikiendelea kukuombea Ufunguliwe na hilo pepo la wivu ulipiltiliza.
Thanks. I have the same experience. Nilikuwa na bf wakati niko undergraduate na bahati mbaya yeye alikuwa kashamaliza yuko mtaani sasa mshikaji alikuwa na wivu sijapata kuona, simu isiite atataka kujua nani kapiga na kwa nini, nguo anataka kunipangia nivaeje, sijakaa saa cafeteria nakula mara ukiangalia kwa mbali unamuona kakaaa (ametoka mtaani kuja chuo kajichanganya kuni observe) he was crazy, obsessed and deeply in love.nisiongee na mtu kesi, nikaona hapa sasa haya si mapenzi ni utumwa, nikamwambia mimi na wewe basi siwezi, the guy went crazy he was ready to kill, ready to go to jail ready for anything, and he couldnt agree that it was over between us. Ilikuwa kazi kwa kweli sema tu siwezi kusema meng ila nawashauri wanawake wote waogope watu wenye wivu ni ishu, dont try it at home:angry:
Thanks. I have the same experience. Nilikuwa na bf wakati niko undergraduate na bahati mbaya yeye alikuwa kashamaliza yuko mtaani sasa mshikaji alikuwa na wivu sijapata kuona, simu isiite atataka kujua nani kapiga na kwa nini, nguo anataka kunipangia nivaeje, sijakaa saa cafeteria nakula mara ukiangalia kwa mbali unamuona kakaaa (ametoka mtaani kuja chuo kajichanganya kuni observe) he was crazy, obsessed and deeply in love.nisiongee na mtu kesi, nikaona hapa sasa haya si mapenzi ni utumwa, nikamwambia mimi na wewe basi siwezi, the guy went crazy he was ready to kill, ready to go to jail ready for anything, and he couldnt agree that it was over between us. Ilikuwa kazi kwa kweli sema tu siwezi kusema meng ila nawashauri wanawake wote waogope watu wenye wivu ni ishu, dont try it at home:angry:
Carmel, umesema yote. I had the fuckin same experience. Duh..... ni kero haswaaa!!
We buji, kama ni hivo bora ukapate ushauri wa bure. You need a very good counselling manake si afya.. NOT AT ALL!
Kwa huyu imezidi, yaani wakati mwingine naota usiku kuwa amenikimbia kitandani, nikigeuka namkuta amelala fofofo.
Hapo humuamsha na kuanza kumhoji ni wapi alipotaka kukimbilia.
i am very possesive of my girlfriend that i cant stand any man talkn to her, this has become too much that m actually drivin her away but i cant help it..
Raha mdondokeane basi!!
Kale kabatani ka senks sijakaona.ningekugongea.Yani raha sana ukiwa na Mume wa wivu.Huo wivu unaonyesha kuwa anapenda sana
Watch out, you will go mad very shortly! Take it easy, girls are not ONLY 12 like the disciples of Jesus.