Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,833
i am very possesive of my girlfriend that i cant stand any man talkn to her, this has become too much that m actually drivin her away but i cant help it..
i am very possesive of my girlfriend that i cant stand any man talkn to her, this has become too much that m actually drivin her away but i cant help it..
Komredi hii imeshawai kukutokea kwa Girl mwingine au ni kwa huyu tu?i am very possesive of my girlfriend that i cant stand any man talkn to her, this has become too much that m actually drivin her away but i cant help it..
komredi hii imeshawai kukutokea kwa girl mwingine au ni kwa huyu tu?
Kwa huyu imezidi, yaani wakati mwingine naota usiku kuwa amenikimbia kitandani, nikigeuka namkuta amelala fofofo.
Hapo humuamsha na kuanza kumhoji ni wapi alipotaka kukimbilia.
Very true otherwise he will end up in a big mess.You need intervention my friend.....
Kwa huyu imezidi, yaani wakati mwingine naota usiku kuwa amenikimbia kitandani, nikigeuka namkuta amelala fofofo.
Hapo humuamsha na kuanza kumhoji ni wapi alipotaka kukimbilia.
Watch out, you will go mad very shortly! Take it easy, girls are not ONLY 12 like the disciples of Jesus.
mie napendaga kweli wanaume wenye kupandwa wazimu kama buji, raha kweli, mana ukimdondoke yeye tabu wacha yeye adondoke....
Kwa huyu imezidi, yaani wakati mwingine naota usiku kuwa amenikimbia kitandani, nikigeuka namkuta amelala fofofo.
Hapo humuamsha na kuanza kumhoji ni wapi alipotaka kukimbilia.
mie napendaga kweli wanaume wenye kupandwa wazimu kama buji, raha kweli, mana ukimdondoke yeye tabu wacha yeye adondoke....
Raha mdondokeane basi!!mie napendaga kweli wanaume wenye kupandwa wazimu kama buji, raha kweli, mana ukimdondoke yeye tabu wacha yeye adondoke....
Kale kabatani ka senks sijakaona.ningekugongea.Yani raha sana ukiwa na Mume wa wivu.Huo wivu unaonyesha kuwa anapenda sana
He he he he thanx hommie kwa kujali maslahi yangu! kale ka batani ketu sikaoniIli wivu uishe mwachie Kitonga Kimey afanze mambo akulainishie njia.