Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,445
- 78,611
Mmmh, nilikua nije pm ila hy mahari, acha nisome maoni tuInsha Allah!! Kwetu mahari sio chini ya $5000
Mmmh, nilikua nije pm ila hy mahari, acha nisome maoni tuInsha Allah!! Kwetu mahari sio chini ya $5000
Sasa unataka akupe muda kwani vingine hakupi? Hakuhudumii? Jaribu kuwa busy utaona ni kawaida, ila kama huna cha kufanya utawaza mapenzi sana, acha mwanaume atafute hilo ndiyo la msingi mengine mnarekebishana tu, ukimuweka ndani sana mwanaume atakua wa hovyo sana, mpe uhuru.Nimekuelewa boss. Mimi sikutaka kumbana hata kidogo. Nilimpa nafasi jummamosi aspend na marafiki zake. Ili jumapili tuwe wote. Yeye sasa jumamosi na jumapili zote anakua ametingwa. Siku za kazi anatoka kazini saa 2 usiku inakua ngumu kuonana. Nilishindwa hapo. Weekend nzima hata nikimpigia hapokei. Kuna mahusiano hapo au napoteza mda wangu?
Mmmh, nilikua nije pm ila hy mahari, acha nisome maoni tu
Basi mshambaMarafiki zake ni wacongo yeye ni mswahili tu
Hahahaha, mambo vipi ,usimwambie mtoto mrito km umeniona hukuMzee wake wa mtoto mritoo
Hahahaha, asee , anko zangu tena hawakoseagiBasi mshamba
Wacongo wanajua kumpamba mtu hadi ajione wa maana
Hivi na wale watatu ambao walikuwa hawafahamiani alitoa hitimisho lao?Wewe ukishalala na mwanaume ndo unamkinai???.
Huwa mnapima????.
Nyuzi zako zote ni umepata, umekinai, umepata, umekinai ...
Mwanamke wa aina gani wewe ???.
Kiukweli, wewe na wa aina yako... Mnahaja ya kubadilika...
Thamanisha mwili wako.!!!!!
Hahahaha. Kumbe yuko vzr ktk kupanga panguaHivi na wale watatu ambao walikuwa hawafahamiani alitoa hitimisho lao?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Acha hizo mkuu, **** ikiichoka kwa mwenzio ni mupyaa.Halafu 2021 atakuja jamaa yetu kabisa, atatangaza nia dadeq, atapangiwa mahari ya 3+million. Atawehuka kuzitafuta ili aweke chuma ndani.
I insist, japo nipo nje ya mada, tusitishe mahari jamani.
Ungemwambia hupendi kampani yake na ukambadilisha huenda angebadilika.anawanyenyekea sijui kama kitu gani. Yani tunaweza kua kitandani ila rafiki yake yoyote akimpigia simu akamchukue mahali ataacha kila kitu akamchukue yani inshort kama anawehuka flani hivi.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 kmmmmmmmkEndelea ivoivo ukijatahamaki umejaza YUTONG
Haya yalitosha kuwa majibu kwako aina ya mtu uliyenaye.Nnavyozidi kufikiria ndo kichwa kinazidi kupata moto. Astaghafiru naskia kutapika.
Anyways alinipa historia yake at one point alikua street kid yani baada ya wazazi wake kufariki alilelewa na aunty yake ambae alikua anamtuma akauze mayai ya kuchemsha stendi. Alikua anashinda huko siku nzima na kurudi home saa 7 usiku. Nikafkiria mtoto mdogo akiishi maisha hayo anakua exposed na vitu vingi.
Sex wise akifanya bila kondom anamaliza ndani ya dakika moja ila akivaa condom ndo afadhali. Sikutaka kumuhoji sana coz I didn't want kumuingilia privacy yake. Plus utamuulizaje mwanaume kama aliwahi kua abused utotoni.
Sex hapendi yani mara nyingi ilikua kama namforce na anaonekana hes not enjoying it.
Too much info
Ngojaaaa nimtag kabisaaaHahahaha, mambo vipi ,usimwambie mtoto mrito km umeniona huku