Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Kila ukiongea na watu wa nyumbani utasikia hakuna umeme, Ngereja kawatembelea:
Umeme unapanda bei January huu, watu wamekaa mkao wa kula!
Wenye vituo vya mafuta wamegoma! Mafuta bei juu, dala dala na taxi grounded....
Posho za wabunge zimepanda, wafanyakazi wengine tulie tu, mishahara kiduchu!
ajali za kila siku na mengine!
CCM/CUF?chadema mparaganyiko!
Celeb Mboni na wengine...
matanuzi ya Mwamnvita huko Dubai.... ( sisi tumejikunyata na Baridi)
Diamond/wema/Jokate saga....
male Celebro wa kupiga picha za nusu uchi.......
and many other....
Lakini pamoja na hayo, watu wako happy, maisha yanakwenda, watu wanajirusha, wanamwaga radhi as if nothing happens.....
AIBU YA BABA MKWE! - Global Publishers
Tanzania raha jamani, I am missing my country, nimejikunyata na baridi, sina pa kujirusha, dhiki tupu.......
wale wanaofikiria ni bora wangezaliwa mbwa majuu kuliko watu Tanzania, they are very wrong!
Umeme unapanda bei January huu, watu wamekaa mkao wa kula!
Wenye vituo vya mafuta wamegoma! Mafuta bei juu, dala dala na taxi grounded....
Posho za wabunge zimepanda, wafanyakazi wengine tulie tu, mishahara kiduchu!
ajali za kila siku na mengine!
CCM/CUF?chadema mparaganyiko!
Celeb Mboni na wengine...
matanuzi ya Mwamnvita huko Dubai.... ( sisi tumejikunyata na Baridi)
Diamond/wema/Jokate saga....
male Celebro wa kupiga picha za nusu uchi.......
and many other....
Lakini pamoja na hayo, watu wako happy, maisha yanakwenda, watu wanajirusha, wanamwaga radhi as if nothing happens.....
AIBU YA BABA MKWE! - Global Publishers
Tanzania raha jamani, I am missing my country, nimejikunyata na baridi, sina pa kujirusha, dhiki tupu.......
wale wanaofikiria ni bora wangezaliwa mbwa majuu kuliko watu Tanzania, they are very wrong!