asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
mkuu nilivumilia sana mkuu, the problem is that i am a very reserved person na yeye anaongea sana, so mara nyingi nakaa kimya kumsikiliza tu akiongea kama cherehani..jana ilizidi kipimo cha uvumilivu nikasema hapana, huyu ama atanizeesha mapema au kuniua kwa mawazo bure
wewe inaonekana unacho kabisa hicho kibuyu kinanitisha umeweka nini humo au ni limbwatakaribu rafikimkweli mimi sio kiburi
Sioni tena umuhimu wa kuendelea na hili zoezi...
Tokea nitangaze nia kwake she simply changed alot na kuanza kiburi....
Sasa nasema naivunja hii kitu, sihitaji kuishi maisha yangu yote na binadamu mwenye kiburi...
I have just called her to tell her this....
Ndio mwisho wa safari ndefu ya kuelekea malengo, a very long and sad weekend.
Sioni tena umuhimu wa kuendelea na hili zoezi...
Tokea nitangaze nia kwake she simply changed alot na kuanza kiburi....
Sasa nasema naivunja hii kitu, sihitaji kuishi maisha yangu yote na binadamu mwenye kiburi...
I have just called her to tell her this....
Ndio mwisho wa safari ndefu ya kuelekea malengo, a very long and sad weekend.
^^
It happenend to me too!
Nails out.
Thanks for being a man,, Being bold!
^^
Nimekupata mkuu ndo maana una msimamo hasi kwa wanawake
Sioni tena umuhimu wa kuendelea na hili zoezi...
Tokea nitangaze nia kwake she simply changed alot na kuanza kiburi....
Sasa nasema naivunja hii kitu, sihitaji kuishi maisha yangu yote na binadamu mwenye kiburi...
I have just called her to tell her this....
Ndio mwisho wa safari ndefu ya kuelekea malengo, a very long and sad weekend.
sijui watoto wenu watakuja kumwagana wapi manake wazazi mmetongozana fb mkamwagan jf watoto itakuwaje??
Nimekupata mkuu ndo maana una msimamo hasi kwa wanawake
UPDATES:
Nimeitwa kwenye kikao kusuluhisha what should i do now, i really don't want to go back to those kind of nasty treatments
mkuu tabia yangu au yake, maana yeye ndiye kasababisha hiki kikao, so i should be expecting vikao kila mara huoni ni jambo la busara kusema hapana sasa, nahitaji njia sahihi ya kusema hivyo bila kuleta madhara kwa jamii inayonizunguka, kama hakuna so niingie mahali nikiwa na doubts??Nilikwambia mkuu,not so fast kama mlishatambulishana kwa familia mtasuluhishwa tu. Penye wengi hapaharibiki neno!
Hapo kwa bold nenda tu mkayamalize uje ututajie tarehe ya kuja kupiga vigele gele. Nawe ujifunze ustahmilivu utaenda kukutana na mengi kwenye hiyo ndoa unayoiendea,kwa tabia yako mbona vikao vitakuwa kila uchao?
mkuu tabia yangu au yake, maana yeye ndiye kasababisha hiki kikao, so i should be expecting vikao kila mara huoni ni jambo la busara kusema hapana sasa, nahitaji njia sahihi ya kusema hivyo bila kuleta madhara kwa jamii inayonizunguka, kama hakuna so niingie mahali nikiwa na doubts??
naunga mkono maamuzi yako mkuu...........
Nimekupata mkuu ndo maana una msimamo hasi kwa wanawake