Mhhh.Yanaweza kukukuta hata wewe.Never judge anyone.Huyo ni kweli kachanganyikiwa kwa jinsi alivyoandika but mpaka kaandika hiyo thread anaonesha anahitaji msaada.Ni jukumu letu kumtia moyo.Kila mtu ana eneo lake katika maisha alilochemsha lakini duniani tunainuana kwa kupeana faraja.Umtendee mwenzio lile upendalo utendewe.
Mara nyingi majibu yako yananifanya nitamani kuonana na ww......nikujibu kwa matendo...una roho ya kifedhuli
ni kuambiana tu ukweli..kumfanyia unafki si vizuri...
second chance na 40's? arudi kwao tu akapumzike...
na ukute kachanganyikiwa sababu hata kwao alihasi...sahizi anajiona kabaki pekeyake hana kwa kukimbilia...
Sometimes, people should learn to be just a little sympathetic without attacking people who are already feeling so low.
tujitahidi kuwa na busara.sijaelewa hapa tukusaidie nini? nyumba, mke au sumu ufe kabisa?
afuate huu ushauri nimejifunza kituA proffesional male ndio kazi gani? Ya kutia mimba?
Learn from Le Mutuz na Babu wa Loliondo, sio mwisho wa dunia
Wacha kumtisha mwenzi wewe... God's rule ndio nini?really your finished you went against GODs rule you now reap what you sow not bad just repent and tell JESUS to give a light fungua hata genge uza or uza gari kajenge nyumba ya mbao kijijini,tafuta kashamba panda chakula
Sisi ni nani hadi tumpe second chance? Let us encourage him na inatoshaWatu mna makavu!!? badala ya kumfariji mnazidi kumshusha kaburini.Anahitaji faraja.Lets give him a second chance...
Wewe ukweli unaotaka kumwambia mwenzio unaujua kweli?sawa...lakini na ukweli aambiwe..
Nyie wanafiki mnaohukumu wengine mnachekesha sanareally your finished you went against GODs rule you now reap what you sow not bad just repent and tell JESUS to give a light fungua hata genge uza or uza gari kajenge nyumba ya mbao kijijini,tafuta kashamba panda chakula
Watu mna makavu!!? badala ya kumfariji mnazidi kumshusha kaburini.Anahitaji faraja.Lets give him a second chance...
sijaelewa hapa tukusaidie nini? nyumba, mke au sumu ufe kabisa?