Hysteria ya uongo!

Hysteria ya uongo!

Hawa watu ni wanafki sana,yani ukiwauliza hbr za jk wanamwaga mapovu hatari.Nafikiri wameapa kupambana na jpm kwa mbinu zzt zile ikiwa na kusafisha utawala wa jk kwa matukio yaleyale yanayotokea utawala Huu.
Wamefilisika mikakati!
 
Ukisema watu wamebobea kwenye ukosoaji basi ujuwe kuna watu wamebobea kusifia hata mambo ya hovyo hapa duniani.
Wote wanafiki tu ...simama na ukweli tu bila kujali ni CCM au upinzani ...
 
Mie nilichongundua Nyani Ngabu amejua akiandika ku provoke hisia za watu anapata michango mingi zaidi na umaarufu zaidi, huu utakuwa mkakati maalum wakuzidi kujipa jina ni bora kupuuza tu maana anajua kundi kubwa humu litachangia kinyume na hoja yoyote inayokwenda kinyume na rais
 
JPM kawashika pabaya wanakosa Sera sasa wamebaki kutapatapa Kama wafa maji. Hadi miaka kumi iishe JPM atakua kawanyoosha vibaya sana chamani anaweza kubaki mmiliki tu Mbowe
 
Kwamba ulichoandika ni kijeruman au kilugha chenu kias nishindwe kuelewa?Swali nililokuuliza,sio wewe tu,ni Bavicha wote hawawezi kulijibu na hapo dhana ya unafki inapojitokeza.
kukujibu ni kupoteza muda wangu
 
Nyani ngabu tatizo lako ni moja tu unafkiri akili yako ni bora kuliko wengine usiwe kama mwanamke uko too emotional kwa hili jambo brother

See the big picture nini kinatengenezwa na hizo media zinazo mchafua hii dunia ipo kwenye information era sio capitalism wala socialism
Afterall the enemy of your enemy is yourfriend
 
Tatizo sio wasikemee ...tatizo unafiki wa kupitiliza ....hawamjui adui yao halisi ....ndio maana wanamshangilia Kikwete na kusema wanamkumbuka! Ambao si wasahaulifu tunawashangaa! ....ndio maana tunaona tatizo kubwa upinzani ....chuki kwa watu binafsi tu .....kila Rais anayeingia madarakani hugeuzwa shetani ambaye hajawahi kutokea!!! Huu ni ulaghai usiofaa kabisa ....mnajikuta mnapinga tu na kulalama hadi mnaonekana vichaa.....mfano mfumo wa sasa wa kuoneshwa bunge umeasisiwa wakati wa Kikwete ....JPM amemalizia tu utekelezaji ....maana yake angekuwepo JK bunge lisingeoneshwa pia .....sheria ya mitandao mnajua ilitungwa ktk utawala wa JK .....lakini leo mnasema JK ni bora kuliko JPM!!! Wengine mnaenda mbali eti alijua kucheza na hisia za watu!! Seriously!!! Yale ya kuhutubia na kutupa stori za daktari wake na issue ya tezi dume wakati nchi ilikuwa imesimama, bunge limesimama sababu ya Escrow?? Pangeni mikakati ya kufanya siasa zama hizi za JPM badala ya ulaghai wa kitoto hadi wananchi wa kawaida hawawaelewi!!
Mtazamo unafki wa wapinzani uko wapi?! Kama swala ni Kikwete angalau aliwaruhusu wapinzani kufanya siasa na kufungua matawi nchi nzima. Leo swala hili kwa Maghufuli ni dhambi itakayo kupereka jela kama si kuzimu. Kwanini hili lisikemewe?! Kwamba akikemewa ametukanwa!! Aliomba kutingoza tena kinyenyekevu kabisa na si kutukandamiza kibabe.


Ni kweli mauaji na utekaji vimefanyika awamu zilizotangulia. Lakini tusiendekeze unyama huu kwa dunia ya watu waliostaarabika. Hizi zilikuwa mbinu za kikoloni kudhibiti watu wenye uelewa na wasiokubaliana nao!!! Leo miaka 60 baada ya uhuru hatutakiwi kufikiria mbinu hizo za wajerumani na waarabu.
 
Boss @ Kama nimekuelewa, Unakubaliana na Unaunga Mkono matukio hayo uliyosema !!!! ??? Maana sijakusoma mahali ukiyakemea na kuyalaani matukio hayo kwa Awamu zote za Uongozi wa Urais.


Howdy!?

Naona kuna kakundi ka watu wachache humu JF na kwenye mitandao mingine ya kijamii wanaotengeneza hysteria ya uongo kwa kukuza mambo.

Lengo lao ni moja tu, nadhani. Ni kumchafua rais aliyepo madarakani sasa.

Awali mtu ungeweza kusema labda pia hawa watu wanaichukia CCM. Lakini mimi nimehitimisha kuwa wanamchukia zaidi Rais Magufuli kuliko wanavyoichukia CCM.

Na ndo maana wanakuwa wanakuza kuza tu mambo.

Wakiona kijimakala kilichochapishwa kwenye jarida sijui la wapi wapi huko wanakimbilia kuchekelea, kusherehekea, na kupagawa utadhani ni ujio wa pili wa Yesu au kiama.

Oh sijui mpaka wazungu wameandika...sijui wazungu nini nini....who cares what wazungus say?

Mara sijui watu siku hizi wanapigwa risasi! Kwani zamani watu walikuwa hawapigwi risasi?

Mnashangaza sana nyie watu. Mko too hysterical kiasi hata kumbukumbu zenu zimeathirika.

Kikwete aliponunua yale magari ya kupulizia upupu mlilia lia humu na mkamlaani. Leo hii kaja Ngosha Mashine mnajifanya kumkumbuka Kikwete. Ina maana mmesahau kuwa alileta magari 700 na ushee ya kuwapulizia upupu na akawaambia ole wenu mkileta vurugu kwenye uchaguzi?

Mna matatizo sana nyie watu!

Si ajabu mshasahau kuwa Dkt. Ulimboka naye alitekwa na watu wasiojulikana akajikuta yuko Mabwepande huko akiwa hajielewi wakati Kikwete akiwa rais.

Hata yule Kibanda naye si alipigwa na hao hao wasiojulikana kipindi cha Kikwete...

Lakini mnavyopiga mayowe sasa hivi utadhani haya mambo yameanza baada ya Ngosha Mashine kushika hatamu za madaraka.

Acheni kukuza mambo nyie makamanda.

Mliikuza ile njaa weee hadi mkaishia kuumbuka tu mwishowe. Tena hayo matumbo yenu makubwa ndo yaliwaumbua zaidi maana kila nilipokuwa nawauliza kama mmeshinda njaa mlikuwa mnakosa majibu.

Mtaishia kuwa wafa maji tu na huko kutapatapa kwenu.
 
Howdy!?

Naona kuna kakundi ka watu wachache humu JF na kwenye mitandao mingine ya kijamii wanaotengeneza hysteria ya uongo kwa kukuza mambo.

Lengo lao ni moja tu, nadhani. Ni kumchafua rais aliyepo madarakani sasa.

Awali mtu ungeweza kusema labda pia hawa watu wanaichukia CCM. Lakini mimi nimehitimisha kuwa wanamchukia zaidi Rais Magufuli kuliko wanavyoichukia CCM.

Na ndo maana wanakuwa wanakuza kuza tu mambo.

Wakiona kijimakala kilichochapishwa kwenye jarida sijui la wapi wapi huko wanakimbilia kuchekelea, kusherehekea, na kupagawa utadhani ni ujio wa pili wa Yesu au kiama.

Oh sijui mpaka wazungu wameandika...sijui wazungu nini nini....who cares what wazungus say?

Mara sijui watu siku hizi wanapigwa risasi! Kwani zamani watu walikuwa hawapigwi risasi?

Mnashangaza sana nyie watu. Mko too hysterical kiasi hata kumbukumbu zenu zimeathirika.

Kikwete aliponunua yale magari ya kupulizia upupu mlilia lia humu na mkamlaani. Leo hii kaja Ngosha Mashine mnajifanya kumkumbuka Kikwete. Ina maana mmesahau kuwa alileta magari 700 na ushee ya kuwapulizia upupu na akawaambia ole wenu mkileta vurugu kwenye uchaguzi?

Mna matatizo sana nyie watu!

Si ajabu mshasahau kuwa Dkt. Ulimboka naye alitekwa na watu wasiojulikana akajikuta yuko Mabwepande huko akiwa hajielewi wakati Kikwete akiwa rais.

Hata yule Kibanda naye si alipigwa na hao hao wasiojulikana kipindi cha Kikwete...

Lakini mnavyopiga mayowe sasa hivi utadhani haya mambo yameanza baada ya Ngosha Mashine kushika hatamu za madaraka.

Acheni kukuza mambo nyie makamanda.

Mliikuza ile njaa weee hadi mkaishia kuumbuka tu mwishowe. Tena hayo matumbo yenu makubwa ndo yaliwaumbua zaidi maana kila nilipokuwa nawauliza kama mmeshinda njaa mlikuwa mnakosa majibu.

Mtaishia kuwa wafa maji tu na huko kutapatapa kwenu.
Huko ccm wanakupa nini mkuu? Sio kwa kuwatetea huku! Hebu vuteni ule uzi wake aliodai Magufuli ni rais wa hovyo asiye na sifa ya kuwa kiongozi wa nchi, leo unamwita Ngosha mashine. Kwanza Magufuli ni msukuma? Nahisi utambulisho wako halisi utakuwa ulugundulika na adhabu uliyopewa ni kuisafisha seeikali na rais kwa maandishi yako ya mwanzo. Hii u-turn si ya kawaida kwa mwanaume aliyekamilika. Tumezoea kuona haya mambo kwa kina dada. Duh, not for this lack of consistency dude!
 
siwezi kuzungumzia mambo ya kimarehehemu,maendeleo yanayochangamana na damu hayanaga heri.
 
Howdy!?

Naona kuna kakundi ka watu wachache humu JF na kwenye mitandao mingine ya kijamii wanaotengeneza hysteria ya uongo kwa kukuza mambo.

Lengo lao ni moja tu, nadhani. Ni kumchafua rais aliyepo madarakani sasa.

Awali mtu ungeweza kusema labda pia hawa watu wanaichukia CCM. Lakini mimi nimehitimisha kuwa wanamchukia zaidi Rais Magufuli kuliko wanavyoichukia CCM.

Na ndo maana wanakuwa wanakuza kuza tu mambo.

Wakiona kijimakala kilichochapishwa kwenye jarida sijui la wapi wapi huko wanakimbilia kuchekelea, kusherehekea, na kupagawa utadhani ni ujio wa pili wa Yesu au kiama.

Oh sijui mpaka wazungu wameandika...sijui wazungu nini nini....who cares what wazungus say?

Mara sijui watu siku hizi wanapigwa risasi! Kwani zamani watu walikuwa hawapigwi risasi?

Mnashangaza sana nyie watu. Mko too hysterical kiasi hata kumbukumbu zenu zimeathirika.

Kikwete aliponunua yale magari ya kupulizia upupu mlilia lia humu na mkamlaani. Leo hii kaja Ngosha Mashine mnajifanya kumkumbuka Kikwete. Ina maana mmesahau kuwa alileta magari 700 na ushee ya kuwapulizia upupu na akawaambia ole wenu mkileta vurugu kwenye uchaguzi?

Mna matatizo sana nyie watu!

Si ajabu mshasahau kuwa Dkt. Ulimboka naye alitekwa na watu wasiojulikana akajikuta yuko Mabwepande huko akiwa hajielewi wakati Kikwete akiwa rais.

Hata yule Kibanda naye si alipigwa na hao hao wasiojulikana kipindi cha Kikwete...

Lakini mnavyopiga mayowe sasa hivi utadhani haya mambo yameanza baada ya Ngosha Mashine kushika hatamu za madaraka.

Acheni kukuza mambo nyie makamanda.

Mliikuza ile njaa weee hadi mkaishia kuumbuka tu mwishowe. Tena hayo matumbo yenu makubwa ndo yaliwaumbua zaidi maana kila nilipokuwa nawauliza kama mmeshinda njaa mlikuwa mnakosa majibu.

Mtaishia kuwa wafa maji tu na huko kutapatapa kwenu.

Nami nimegundua wewe huipenda sana ccm; ila una mahaba makubwa na ngosha, mr frustration.
 
Ingawa sijasoma comment zote za wadau... nakumbuka Said Kubenea alimwagiwa tindikali, na akatibiwa na serikali ya JK... kwenye inshu ya Dr Ulimboka, Ahmed Msangi alitaka kupigwa pale muhimbili akatolewa nduki bahada ya kutajwa na Ulimboka kuwa ni mmojawapo wa waliomt..... nyara (Ahmed Msangi RPC Mwanza kwa wasiofahamu)

Kipindi cha JK Nyerere alisumbuliwa sana na kina Oscar Kambona n.k wakaenda kuishi uhamishoni......
nini iwe kwa kina naniliuuu kumtisha Magu.... mtu kapata hawala kaenda kukaa huko eti nae kakimbia nchi? ovyooooo
 
Ana
Boss @ Kama nimek98uelewa, Unakubaliana na Unaunga Mkono matukio hayo uliyosema !!!! ??? Maana sijakusoma mahali ukiyakemea na kuyalaani matukio hayo kwa Awamu zote za Uongozi wa Urais.
Ana ajenda ya siri huyo.
Great Thinkers wameshamtambua ni Kimambinista huyo.
Tafuta post zake za miaka 5 iliyopita ndo utagundua unafiki wa Nyani Ngabu
 
Boss @ Kama nimekuelewa, Unakubaliana na Unaunga Mkono matukio hayo uliyosema !!!! ??? Maana sijakusoma mahali ukiyakemea na kuyalaani matukio hayo kwa Awamu zote za Uongozi wa Urais.

Hujawahi kuona popote humu nikiyalaani hayo matendo maovu??

Labda hujui kusoma na kuelewa!!

Hilo ndo hitimisho pekee ninaloweza kulifikia!
 
Back
Top Bottom