masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
Hiyo michezo nilikuwa nacheza nikiwa Form I.Mambo kamanda?
Unaweza kupigana ngumi kavu kavu wewe?
Hiyo michezo nilikuwa nacheza nikiwa Form I.Mambo kamanda?
Unaweza kupigana ngumi kavu kavu wewe?
Hiyo michezo nilikuwa nacheza nikiwa Form I.
Hana lolote huyo ,kuna ajenda yake ya siri.Nyani Ngabu pepo mchafu wa kumkejeli Rais aliyekuingia 2015 ni dhahiri ameshindwa katika jina la Yesu na sasa umekuwa " mtoto" mzuri. Ubarikiwe na hao wazungu wanaokutumikisha kwa kuwalea huko ughaibuni washindwe na walegee!!......karibu Tanzania tujenge taifa letu utumwa ni dhambi NN!
Mnatekana wenyewe ili kutujaza hofu,shwain!Unataka tukae kimya ili haya mambo ya kutekana yaendelee.,..akili za usiku
Mkuu nimeona wengi wanatukana siku hizi humu JF.Matusi umeona kwangu tu?
Ukamanda uliotunukiwa na Mange Kimambi tunaujua.Kamanda Maso you’re better than that ma nigga teh teh
Pengine kaokolewa na Mange Kimambi!Hahahaa ameokoka!
Mkuu your infiltration tactics zimeshitukiwa.And you are Kamandanista teh teh
Kiukweli mnasahau sana. Unajua kelele za sheria za mitandao zilianza lini? Unajua hata issue ya bunge live ilianzia kwa Kikwete na kama angekuwa madarakani yangekuwa haya haya ....mikutano ya kisiasa ipo kikatiba na Rais hana mamlaka ya kukataza! Mbona enzi za JK maandamano yalipigwa marufuku lakini bado watu walilazimisha? Tatizo kwasasa CDM haina ushawishi tena wanatafuta visingizio tu! In short naona CCM wanawapa kiki wenyewe ...wangewaacha muandamane tu ....at least kikwete alikuwa anatoa uhuru wa kujieleza,bunge live,mikutano ya siasa
sasa watu wanapigwa risasi na kutekwa na hawaruhusiwi kulalamika
yani ubabe ubabe
Mkuu your infiltration tactics zimeshitukiwa.
You are still USA baby!
Try something else.
Tanzania tunaambizana ukweli lakini.mlionunuliwa, Vimambinistas, no chance!
View attachment 722734
Ila tuache utani, mamia kama si maelfu ya maiti zinazookotwa katika fukwe za bahari ya hindi ukanda wa dar es salaam inatoka wapi? Kweli Nyerere alishasema kiongozi akishaonja nyama ya binadamu hawezi kuacha kuitafuta na kula kila siku... huyu jamaa ana kiu ya hatari na nyama za binadamu wenzie
A t least bado nina ubinadamu na utu hata kwa watu ninaotofautiana kimtazamoWewe unasikia, kuona, na kunusa?
A t least bado nina ubinadamu na utu hata kwa watu ninaotofautiana kimtazamo