Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
Kama watu walikua wanakufa , wanatekwa na kudhurumiwa haki zao kipindi cha tawala zilizopita. Leo hii yakitokea yaleyale unataka watu wasikemee wakae kimya Sababu sio mageni hayo matendo ?
Kama watu walikua wanakufa , wanatekwa na kudhurumiwa haki zao kipindi cha tawala zilizopita. Leo hii yakitokea yaleyale unataka watu wasikemee wakae kimya Sababu sio mageni hayo matendo ?
Tatizo lako kubwa ni chuki kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii dhidi ya CHADEMA na Mange Kimambi kiasi kwamba hata utu umekutoka.Oh kwa hiyo huoni, husikii, huwezi tena kunusa eeh?
Pole kamanda.
wapi nimetaja maandamano?Kiukweli mnasahau sana. Unajua kelele za sheria za mitandao zilianza lini? Unajua hata issue ya bunge live ilianzia kwa Kikwete na kama angekuwa madarakani yangekuwa haya haya ....mikutano ya kisiasa ipo kikatiba na Rais hana mamlaka ya kukataza! Mbona enzi za JK maandamano yalipigwa marufuku lakini bado watu walilazimisha? Tatizo kwasasa CDM haina ushawishi tena wanatafuta visingizio tu! In short naona CCM wanawapa kiki wenyewe ...wangewaacha muandamane tu ....
Tatizo lako kubwa ni chuki kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii dhidi ya CHADEMA na Mange Kimambi kiasi kwamba hata utu umekutoka.
Hivi kujali hata utu tu kunahitaji uwe mshabiki wa siasa ?
Unahitaji kuwa mshabiki wa siasa kuona namna watu wanavyotoweka ?
Unahitaji kuwa mshabiki wa siasa kujua namna wafanyakazi wanavyonyimwa haki zao tena za kawaida tu ?
Unahitaji kuwa mshabiki wa siasa kujua namna TRA na UHAMIAJI wanavyotumika kuwadeal watu wasiopendwa na mtu fulani kweli ?
kosoa kama kuna alilodanganya hapoUmefilisika!!!
Hawa makamanda uchwara wakibinywa na afande Muroto wanakuwa wapolee. Wanabakia kusema oh nisamehe afande, siku hiyo (26/4) mimi nitalala na nitajifungia ndani sitakwenda popote pale. Wanafurahisha sana.Duh!
Umeamua kuwapa ukweli mchungu hawa ''makamanda'' ujinga na upumbavu!
Halafu walivyo wajinga wanadhani balozi za nje zilizoko nchini hazifahamu hiyo historia.
Hata Shehe Ponda alikoswa koswa risasi kule Morogoro baada ya kukaidi agizo la polisi wakati Mwangosi ilimpata ya tumbo! Hata Mzee Kikwete nadhani anawacheka sana.
Morogoro kuna mauwaji yalifanyika kwenye maandamano.
Una uhakika gani kua Mimi ni kamanda?We kamanda unatakaje kwani?
Agenda KUU YA CHADEMA ILIKUWA UFISADI.. sasa wamegeuka AGENDA KUU NI KUTETEA MAFISADI NA MAANDAMANO.. eg waliwatetea sana ACACIA..!!
CHADEMA ni liability sasa hv kwa wananchi..!!
Una uhakika gani kua Mimi ni kamanda?
sawasawa msemaji wa rais
Wewe na Nyani Ngabu sijui mnatetea nini?! Kwamba haya mateso na mauaji kwa wapinzani ni haki yao na wasipige kelele kuitaka Tz bora na ya ki democracy ??!! Au mnamtetea huyu bhuana dhidi ya wapinzani wake kwa sababu hastahili kupingwa kwa hoja yoyote ?! WaTz wote wakishakuwa na mawazo kama yenu, hiyo Tz ya kesho itakuwaje kwa wajukuu zenu?!Na huu ndio mtego mkubwa kwa upinzani; kwa mfano.. wwengi wamesahau kabisa kuwa mauaji, utekaji nyara na unyanyasaji wa upinzani umekuwepo tangu Mkapa... wamesahau kabisa kuwa walinyanyaswa Bungeni tangu enzi za Sitta; sasa leo wanajenga imani kabisa kuwa ati akitoka Magufuli au akiingia Rais mwingine mambo yatakuwa tofauti... huu ni mtego ambao ni mgumu kujinasua.. Magufuli anaweza kuwa anaungwa mkono na wananchi wengi wa kawaida kuliko Mkapa au Kikwete... combined..
Attitude yake kama ya prezda wake.Una uhakika gani kua Mimi ni kamanda?