Huzuni tena kumbe yale magari ni yake

Huzuni tena kumbe yale magari ni yake

Kwani kuna nini??
Screenshot_20251216_153946_Chrome.jpg


adriz de Mafwele
 
This really sucks maamae why? Mimi hata Jeff Bezoz aliposhuka tajiri namba mbili hadi nne nilisheherekea balaa. Sasa leo Afcon tutaangalia kwa huzuni.

adriz wew ndo wakulaumiwa mbusii wewee.
Naombea urudishwe mamatoni uje ulime viazi mbusi wewe Maarass.

Siku ukifukuzwa mamatoni nitafurahi tena urudi bongo na bukta tu
 
Fikiria watanzania 10,000 waliokufa 29th October bila HATIA yoyote, huyo MBUZI kama magari ni yake ama kaiba yanaihusu nn? Tanganyika ndiyo jambo la muhimu ili ukifa wewe wajukuu zako walikute hili taifa huru na linanawiri.
Achaneni na mambo ya kipumbavu.
 
Fikiria watanzania 10,000 waliokufa 29th October bila HATIA yoyote, huyo MBUZI kama magari ni yake ama kaiba yanaihusu nn? Tanganyika ndiyo jambo la muhimu ili ukifa wewe wajukuu zako walikute hili taifa huru na linanawiri.
Achaneni na mambo ya kipumbavu.
Sio 10000 zaidi ya 20K
 
Wuiii uuuruuuu wiyooo ni huzuni na maumivu. Jana tu tulikuwa na furaha Chief Godlove kafulia baada ya habari kusambaa mitandaoni magari yake yakichukuliw.

Vijiwe vya umbea na vibaraza vilichangamka balaa. Tukajuwa mwana wote tuko sawa. Hadi tulimshukuru mungu kwa faraja ya kipekee.

Lakini furaha yote imetoweka kumbe yale magari bado ni yake yalikuwa yanapelekwa Nairobi alipo sasa hivi.

Ni pigo kubwa sana kwa maskin.

Mungu tusaidie tena kuwa na furaha hata mfanye tu Elon Musk ashuke hadi dollars billion 15.

Jana usiku tulilala na furaha with out empty stomachs happy leo tutalala na huzuni with our still empty stomachs.

MODS please mtufariji watu wenu asee.

View attachment 3529828
Mbona hii video ni super imposed, hiyo jamaa hayupo hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom