Zingatia itifaki.Soldier maana yake ni nini?
PSU wanatoka tu mtaani bila kuwa ma soldier?
Huyo ni askari kweli, mbona kama kuanzia kutembea hadi kimuonekano sio askari, hawa watu ni hatari, walinzi wa Mh. Rais wawe makini na askari wa aina hii..
..ungefafanua zaidi kuhusu kifo cha Indira Gandhi.Rejea historia ya mama Indira Gandhi.
PSU ni asasi ya kiraia?Zingatia itifaki.View attachment 1846776
Hata utembeaji wake unatia ShakaAu alilewa maana hata uvaaji wake hauko sawa
Acha kujificha kwenye kichaka cha maana moja ambayo kwa hakika ulikuwa unajua mtu akiitwa soldier basi hiyo ni JWT ndio maana unasema hakuna soja pale😁😁😁Zingatia itifaki.View attachment 1846776
Asante. But one question do you think those elites do not represent any fomal forces of sovereign state like Tanzania?
Presidential Security Unity braza!Psu ni nn mkuu
Yes majeshi yakitajwa rasmi wao hawapo, wala hatusikii wakitambulishwa . Lakini wengine tunasikia jeshi la Polisi, Magereza, kujenga Taifa, Wananchi, Zimamoto n.k ngoja waje wenye kujua zaidi wengine uelewa wetu umeishia hapo, tunajua sana mahesabu ndio fani yetuAsante. But one question do you think those elites do not represent any fomal forces of sovereign state like Tanzania?
View attachment 1847465
Sahihi mkuuAu jamaa alikuwa anawajaribu hao walinzi kama wapo imara? Ila mpaka kupenya na kufika hapo wale walinzi wa mwanzo ni wazembe sana. Huyu wa mwisho aliyemzuia yupo makini sana.
Ahsante kwa historia..ungefafanua zaidi kuhusu kifo cha Indira Gandhi.
..kwanza, alikuwa na waziri mkuu mwanamama wa India.
..pili, Indira Gandhi aliuwawa na mlinzi wake mwenye asili ya Kalasinga, yaani wahindi wanaovaa vilemba.
..tatu, serikali ya Indira Gandhi na majeshi ya India yalikuwa na mgogoro na Makalasinga.
..nne, majeshi ya India / Indira Gandhi yaliuwa watu na kuchoma / kulipua msikiti mkubwa wa Makalasinga na kusababisha uhasama mkubwa.
..mlinzi / body guard wa Indira Gandhi alimuua bosi wake kulipiza kisasi kwa maovu ya serikali ya India dhidi ya jamii yake.
Cc Maghayo
Hahaha hahahaWale walinzi waliokula wanabeba mitutu kwa mwendazake walitoka kwa kagame
Mara pap Mwendazake ameonekana Chamwino anataka siti yake... vip hapo!!Kweli kuna yeyote duniani anaweza kumdhuru mama yetu? Kuna yeyote ana uthubutu wa kunyanyua mkono na kumdhuru mama? Hamna kabisa
Huyo trafiki mpaka sasa atakuwa sehemu salama...limeisha machoni kwa watu ila sio kwa systemKweli kuna yeyote duniani anaweza kumdhuru mama yetu? Kuna yeyote ana uthubutu wa kunyanyua mkono na kumdhuru mama? Hamna kabisa
Na I we hivyoHuyo trafiki mpaka sasa atakuwa sehemu salama...limeisha machoni kwa watu ila sio kwa system
Mkuu paramilitary ndio la akiba? Zamani mgambo (tusaminiwe)neno la kitaaYes majeshi yakitajwa rasmi wao hawapo, wala hatusikii wakitambulishwa . Lakini wengine tunasikia jeshi la Polisi, Magereza, kujenga Taifa, Wananchi, Zimamoto n.k ngoja waje wenye kujua zaidi wengine uelewa wetu umeishia hapo, tunajua sana mahesabu ndio fani yetu