Huyu Tony Kapola amekuwaje?

Huyu Tony Kapola amekuwaje?

Secret person

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2019
Posts
334
Reaction score
795
Hello

Waumini wa huyu pastor wenu pitozi anaitwa PT.

Sijui Tony wa Kapola naombeni mjitathmini sana.

Sipo hapa kumsema Wala kupinga huduma yake

Ila kwanini muda mwingi wa mahubiri yake umekuwa ni wa majingambo kujisifu juu ya kumiliki magari hela na nyumba Kali.

Lakini akisahau waumini wake kwa asilimia kubwa ni Wanachuo wenye maisha magumu walipigika na maisha wameamua kusali kwake kupata faraja ila mwisho wameishia kuchambwa kuanzia mchungaji na mke wake.

Kiukweli kwenye biblia Mungu alituachia neno lake na inatupasa kuliamini.

Ila asitumie madhabahu kama sehemu ya mipasho na majigambo.

Mimi nimeomba Huyu Tony kapola ajifunze kwa wakina mwakasege.

Kama juzi amepaniki kwenye sakata lake la muujiza wa gas.

Wakati watu wengi wanajua yeye tapeli na motivation speaker aliyechangamka.

Kuna kanisa morogoro mkuyuni amelitelekeza.

Vijana wa kanisa lake anawafanyisha kazi bila malipo Wala posho.

Malaya wa kutupwa anatongoza sana waumini wake

Ila waumini wake wamekuwa kama mataira.
 
Huyu nimemjua juzi baada ya kumsikia mke wake akiongelea mume kujaza mtungi wa gas kwa kuupuliza
Kimsingi dini imejaa drama, majigambo,siasa na sifa za kijinga kama hizo za kumiliki magari

Yapo ya kujifunza kwa waislamu
 
Huyu nimemjua juzi baada ya kumsikia mke wake akiongelea mume kujaza mtungi wa gas kwa kuupuliza
Kimsingi dini imejaa drama, majigambo,siasa na sifa za kijinga kama hizo za kumiliki magari

Yapo ya kujifunza kwa waislamu
Na ukitaka kujua wajinga hawajawahi kuisha toka dunia iumbwe ndio kama hivo, kuna waumini huwambii lolote kuhusu mchungaji wao.
 
Na ukitaka kujua wajinga hawajawahi kuisha toka dunia iumbwe ndio kama hivo, kuna waumini huwambii lolote kuhusu mchungaji wao.
Wajinga wataishaje ilhali wanawamenta watoto wao,ndugu zao na wengine wengi?
Kanisani wanaenda na watoto wanaona wanachofanyiwa,watoto wengine wanaona kwenye TV au kusikiliza redioni,je unadhani Wataisha?
 
Hello

Waumini wa huyu pastor wenu pitozi anaitwa PT.

Sijui Tony wa Kapola naombeni mjitathmini sana.

Sipo hapa kumsema Wala kupinga huduma yake

Ila kwanini muda mwingi wa mahubiri yake umekuwa ni wa majingambo kujisifu juu ya kumiliki magari hela na nyumba Kali.

Lakini akisahau waumini wake kwa asilimia kubwa ni Wanachuo wenye maisha magumu walipigika na maisha wameamua kusali kwake kupata faraja ila mwisho wameishia kuchambwa kuanzia mchungaji na mke wake.

Kiukweli kwenye biblia Mungu alituachia neno lake na inatupasa kuliamini.

Ila asitumie madhabahu kama sehemu ya mipasho na majigambo.

Mimi nimeomba Huyu Tony kapola ajifunze kwa wakina mwakasege.

Kama juzi amepaniki kwenye sakata lake la muujiza wa gas.

Wakati watu wengi wanajua yeye tapeli na motivation speaker aliyechangamka.

Kuna kanisa morogoro mkuyuni amelitelekeza.

Vijana wa kanisa lake anawafanyisha kazi bila malipo Wala posho.

Malaya wa kutupwa anatongoza sana waumini wake

Ila waumini wake wamekuwa kama mataira.
Amekuwa exposed, too bad hakuwa na contigency plan for such thing
 
Back
Top Bottom