Secret person
JF-Expert Member
- Sep 23, 2019
- 334
- 795
Hello
Waumini wa huyu pastor wenu pitozi anaitwa PT.
Sijui Tony wa Kapola naombeni mjitathmini sana.
Sipo hapa kumsema Wala kupinga huduma yake
Ila kwanini muda mwingi wa mahubiri yake umekuwa ni wa majingambo kujisifu juu ya kumiliki magari hela na nyumba Kali.
Lakini akisahau waumini wake kwa asilimia kubwa ni Wanachuo wenye maisha magumu walipigika na maisha wameamua kusali kwake kupata faraja ila mwisho wameishia kuchambwa kuanzia mchungaji na mke wake.
Kiukweli kwenye biblia Mungu alituachia neno lake na inatupasa kuliamini.
Ila asitumie madhabahu kama sehemu ya mipasho na majigambo.
Mimi nimeomba Huyu Tony kapola ajifunze kwa wakina mwakasege.
Kama juzi amepaniki kwenye sakata lake la muujiza wa gas.
Wakati watu wengi wanajua yeye tapeli na motivation speaker aliyechangamka.
Kuna kanisa morogoro mkuyuni amelitelekeza.
Vijana wa kanisa lake anawafanyisha kazi bila malipo Wala posho.
Malaya wa kutupwa anatongoza sana waumini wake
Ila waumini wake wamekuwa kama mataira.
Waumini wa huyu pastor wenu pitozi anaitwa PT.
Sijui Tony wa Kapola naombeni mjitathmini sana.
Sipo hapa kumsema Wala kupinga huduma yake
Ila kwanini muda mwingi wa mahubiri yake umekuwa ni wa majingambo kujisifu juu ya kumiliki magari hela na nyumba Kali.
Lakini akisahau waumini wake kwa asilimia kubwa ni Wanachuo wenye maisha magumu walipigika na maisha wameamua kusali kwake kupata faraja ila mwisho wameishia kuchambwa kuanzia mchungaji na mke wake.
Kiukweli kwenye biblia Mungu alituachia neno lake na inatupasa kuliamini.
Ila asitumie madhabahu kama sehemu ya mipasho na majigambo.
Mimi nimeomba Huyu Tony kapola ajifunze kwa wakina mwakasege.
Kama juzi amepaniki kwenye sakata lake la muujiza wa gas.
Wakati watu wengi wanajua yeye tapeli na motivation speaker aliyechangamka.
Kuna kanisa morogoro mkuyuni amelitelekeza.
Vijana wa kanisa lake anawafanyisha kazi bila malipo Wala posho.
Malaya wa kutupwa anatongoza sana waumini wake
Ila waumini wake wamekuwa kama mataira.