Chadema wanafurahia posho na lile fungu warakalopata baada ya uchaguzi maana wanaweza kupata wabunge wengi na kupata kura zaidi zitakazowaongezea viti maalum ila kwenda Ikulu kwa nguvu za umma sio rahisi...maana hizi nguvu za umma hazikushawishiwa kujiandikisha...uko mikoani
Anadungwa sindano after evry 6 hrs. Watanzania wanajiandaa igeuza ikulu ICU. MACHINGA,MAMA NTILIE ,BODABODA. MACHINGA, MAMA NTILIE, BODABDA.!!
Hivi unaamini kabisa ccm inaweza kukubali itolewe madarakani tena na lowass! Nyie mshukuru mtaongeza idadi ya wabunge tu,muulizeni mrema au huyo maalim seif
we, waambie chama chako wasiondoe majina uone kazi. watu tumelala vituoni halafu unasema hatujajiandikisha? ndoroobo wewe
Waaambie watanzania sio wajinga huo umati mnajiaminisha mtashinda never
Mbona hata wewe unatofauti kubwa kati ya mwaka 2008 na sasa hivi baada ya kuolewa?Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!
Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.
Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.
Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.
Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.
Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.
Lowassa wa zamani ameenda wapi?
Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?
Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!
Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!
Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.
Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.
Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.
Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.
Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.
Lowassa wa zamani ameenda wapi?
Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?
Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!
Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!
Mkuu,Wewe una lako jambo,bhana.
Mkuu,Hapo juu ni Mbeya na Chini ni Dar.Lowassa- Ukawa .Utamuelewa tu.
Mkuu,Nguvu ya umma ikiamua hata angekuwa maiti wapo tayari kumchagua! CCM Imefika hatua wanaleta dharau za waziwazi kwa wananchi wake...sasa wananchi wamechoka kudharauliwa na kunyanyaswa kila siku, wameamua kujaribu mtu na chama kingine!
Mkuu,Mlivyokuwa mnamnyanyasa ccm na kumfanyia kila aina ya hila ulitarajia abaki vilevile?
Mkuu,
Hii ni ngumu kumeza na kukubaliana nayo.
Lowassa ni kati ya watanzania wachache wanaopata huduma za kimaisha kwa kutumia kodi yetu.
Sidhani kama hii ni hoja yenye ukweli!
Ha ha ha nimecheka sana.Akiwa rais vyote vitarudi...
Unakumbuka Kikwete wa zamani alivokuwa anadondoka kifafa hovyo hovyo...???