Siku nikikaa na mchuchu kwenye basi nitafanya hivyo.Ungeanza kuangalia x ili wote muone aibu 😎
Siku nikikaa na mchuchu kwenye basi nitafanya hivyo.Ungeanza kuangalia x ili wote muone aibu 😎
kabisa mkuu aache unafiki ...aje na Id yake ya siku zote😀Huu uzi ungenoga zaidi na kuleta maana kama tu ungeupost kwenye ac yako Halisi.
Uzi wa kumi huu anafunguliwa mtu mmojaNaomba aje kwangu kujitambulisha nataka ni mjue,napia ajibu maswali yangu.kwann yeye tu kila thread yumo?
Unamaamisha Nyangwisi loose Nut ?Ila haya mambo bhana, Hua hayana muda kabisa.
Kila wakati anatokea mtu wa kutrend, kumbe ndo mana kuna mashoga humu wanamchukia Seran 😂 mana n wakati wake kutrend JF 😎
Unyamer sana , tunemMiss Kakayako mnywaVisungura mwambie arudiHuu mwaka wataisoma! Na ndio wananifanya niendelee kuwepo humu😎
Naomba aje kwangu kujitambulisha nataka ni mjue,napia ajibu maswali yangu.kwann yeye tu kila thread yumo?
Anarudi soon yupo anawapikia bom la hatari!Unyamer sana , tunemMiss Kakayako mnywaVisungura mwambie arudi
Labda ubadilishwe hicho kichwa uwekewe kichwa kingine,Mimi Leo ndio siku ya mwisho kuandika mambo ya hovyo Jf , kuanzia kesho nitajitahidi niwe mtu mpya
Mimi kuanzia leo siandiki kila uzi ili nisikere membersðŸ¤Mimi Leo ndio siku ya mwisho kuandika mambo ya hovyo Jf , kuanzia kesho nitajitahidi niwe mtu mpya
soldier MANMimi kuanzia leo siandiki kila uzi nisikere membersðŸ¤
Hmm wifi za majirani hizi zisiwatishe!Ana maisha huyo dada, huwezi kua online na bando la kuunga UNGA, nilikuwaga naunga mkono Kwa Nini mtu ashinde jf siku nzima, baadae nika gundua wanao lalamika hawana hela ya bando, ana comment anakimbilia kuzima data
Heeee we kigogo, majirani zako wana wifi kumbe hukai chanika dada, unaishi sehemu zenye wadhifa hongera, kuwa na maisha si mpaka uwe tajiri mkubwa, mfano min mee, kaajiri vijana mia Moja, unadhani mchezo? Nilifanya kazi Zanzibar kwenye hotel za maboss kubwa hatufiki hata 25 lakini mshahara tu mbinde? Mnakaa Hadi miezi mitatu hujalipwa, Sasa ni matajiri gani hao si vigogo hewaHmm wifi za majirani hizi zisiwatishe!
Hmm sio kweli wifi sikuhizi zimesambaa kila kona, watu wanachanga wananunua mabando! Wala sio Utajiri!Heeee we kigogo, majirani zako wana wifi kumbe hukai chanika dada, unaishi sehemu zenye wadhifa hongera, kuwa na maisha si mpaka uwe tajiri mkubwa, mfano min mee, kaajiri vijana mia Moja, unadhani mchezo? Nilifanya kazi Zanzibar kwenye hotel za maboss kubwa hatufiki hata 25 lakini mshahara tu mbinde? Mnakaa Hadi miezi mitatu hujalipwa, Sasa ni matajiri gani hao si vigogo hewa
huja nielewa dada, utajiri una level, mfano bakhresa huyu ni tajiri kwetu akienda marekani anaweza pigwa makofi na vijana wadogo, wakina markHmm sio kweli wifi sikuhizi zimesambaa kila kona, watu wanachanga wananunua mabando! Wala sio Utajiri!
Umenikumbusha hivi ameshaamka tajiri min ngoja nimchungulie huko mwee!🤣
Duhh kumbe!huja nielewa dada, utajiri una level, mfano bakhresa huyu ni tajiri kwetu akienda marekani anaweza pigwa makofi na vijana wadogo, wakina mark
Nenda kaangalie matajiri wa vijijini, unashangaa, yani kujenga NYUMBA ya block na kuweka msauzi tayari ni tajiri, hajui hata gari zenu hizi mnazo shindania, ila Kwa wanakijiji wanamuona ye ana afadhali, ni don kwao, na anawasaidia mia, mia mbiliDuhh kumbe!
Duhh!Nenda kaangalie matajiri wa vijijini, unashangaa, yani kujenga NYUMBA ya block na kuweka msauzi tayari ni tajiri, hajui hata gari zenu hizi mnazo shindania, ila Kwa wanakijiji wanamuona ye ana afadhali, ni don kwao, na anawasaidia mia, mia mbili