Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Biashara yenyewe ya RD ni mtaji alipewa na huyo mwanaume.
Watengenezeni wanawake wawe na class mnayoitaka msitafute kichaka cha kujificha

Meza kwanza hiyo dawa niliyokupa hapo.

Kwanini msitengenezwe na wazazi wenu? Kwani lazima sisi ndo tuwatengenezee? Kwanini msijitafutie kama tunavyojitafutia?

Mkishafanya makalio na matobo kuwa mtaji msitarajie kuwa na vigezo vya kupandishwa jeti.

Mkubaliane na ukweli kwamba usafiri wenu ni wa Guta tena ukipewa nauli ya boda inabidi ujihesabie bahati.
 
Kwa hiyo masikini waliopo vijijini waliopo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 20 hawajaolewa?? Umeongea upumbavu mtupu!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sasa mtu anayelimishwa Juani siku nzima miezi minne mizima bado akitoka hapo anabeba mazao kichwani kwenda kuyahifadhi utasema anapata raha...mume wake kuna mahali alikwama na anakwama hadi mke ateseke.
Wapo watu vijijini wameolewa na wana furahia maisha kwa sababu wanaume zao wanatimiza majukumu yao.
 
Halafu wewe Leo kama umelewaaa
Yani una comment off point kabisa.. sasa nchi hii kati ya wanawake walioolewa na wasioolewa ni akina nani wamechakaa?
Usichanganye kuchakaa na kiwa ng'ong'ozo. Maana wanaolewa ni ng'ong'ozo ila pisi kali ni wadangaji
 
Sasa mtu anayelimishwa Juani siku nzima miezi minne mizima bado akitoka hapo anabeba mazao kichwani kwenda kuyahifadhi utasema anapata raha...mume wake kuna mahali alikwama na anakwama hadi mke ateseke.
Wapo watu vijijini wameolewa na wana furahia maisha kwa sababu wanaume zao wanatimiza majukumu yao.
Unaelewa maana ya furaha? Una uhakika definition ya furaha kwako ni sawa na kwa wengine? Hayo unayoona ni mateso kwako una uhakika kwake ni mateso? Hao wanaowatimizia mahitaji wake zao lakini ni masikini wanaoishi vijijini wake zao hawajaolewa? Wanawake wenye mindset kama zako ni hatari mno!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Sasa mdada unakuta ushazalishwa kabla, au bikra hata ww hukumbuki kama ulishawahi kuwa nayo, tako mdoli huna, umejichubua chubu, elimu huna, kazi huna, familia yako inategemea mkwe, huna cha ku-offer kwenye ndoa zaidi ya sex..... unakazi ya kuiba vi elfu 2 kila siku kwenye suruali upate hela ya mchezo

Udekezwe sasa ili iwaje nakati hata kukuchukua wewe tu ni hisani tosha

Maisha hayo yana aina na aina ya mtu si ya kila asiyekuwa na uume.

Mengine wataongezea wenzangu
 
Hujajibu swalii.... naona umepanik tu
Nimeuliza rangi km zile za wanyaki haziwezi panda private jet?
Mke wa sugu si unamuona?? Ile sura na mali anazomiliki sasa chini ya sugu vinaendana?? Saa ingine ni bahati tu ya mtu
Wanyakyusa makalio sawa mnazo Ila sura kwa kweli hpn Bado Sana hkn pisi Kali aise pale na Kam wapo Ni wageni
 
Hilo kwa perspective yangu naona halina tatizo as long as umetoa sababu ya msingi tu inayopelekea hilo. Yamkini uko tight on budget ila kama huwa unajilipia flight mwenyewe siku zingine hilo haliwezi kuwa tatizo kabisa.

Tena huenda ndio tukaamua tu kulipia ticket yote. Yani as long as first impressions haukuleta pigo za njaa njaa unakuwa on safe zone.

Mbaya ni ile on first date hata hamjazoeana unaanza kuleta swagger za Gold digging na kutaka kumfuja mjuba yani mnajiharibiaga sana.
Mwanaume ukimuonesha daily unajilipia weeee anafanya ndo kitonga na hajistukii. Labda kama wewe ndio uko hivyo sawa ila wengine mhhhh achaga tu
 
Kumhudumia mke ni swala moja na gold digging ni swala jengine. Mke anahudumiwa akijiweka katika nafasi yake kikamilifu wala hakunaga kelele.

Hawara ndio tunayemzungumzia hapa ambaye hana vigezo vya mke ama sio mke. Wengi wanatakaga wapewe treatment za wake wakati sio wake zetu. Ubaya zaidi watakupangeni foleni mtu 6 wote mnakamuliwa muhudumie[emoji28]
Usipindishe mada. Mada ni kwa walioolewa mkuu. Mbona wanawake kibao wanacheza namba zao vizuri ila wanaambulia machozi?
 
Lakini siku zote mtu anapata mke au mume kutoka na status yake na class huku anavyojiweka ukijiweka kiexpensive utapata aliyeexpensive na ukijiweka cheap utapata aliyecheap na hayo yote yanatokana na uzuri wako elimu yako kipato chako na kipaji chako hivyo hakuna binadam aliyekuwa mbaya kinachotufautisha ni hiyo class niliyoisema maana ukisema mwanamke yule mbaya utakuta kuna jamaa linamvukuzia na linampenda kweli
Kinachonishangaa katika mapenz kwanini wanawake lazima mpewe pesa hata kama unafanya kazi au hii ni formula mpya utakuta mdada mzuri ana mshahara mzuri lkn ukiwa nae ktk uhusiiano lazm umpe hela hata kama unafanya nae kazi hela zenu mnapeleka wapi au mnanunulia majini ya kina maimuna na subihani
Lakini kijamii na kiimani (ambacho sidhani kama wewe unaamini) nani anapaswa kutunzwa kati ya me na ke?
 
Mtoto WA mwaka 2000 kaolewa akiwa bikira. She deserves.

# kuhusu Hela kama kuwa Na Hela ndio kipimo cha uanaume basi baba ako mzazi Na yeye sio mwanaume maana angekuwa nazo Wala usinge kuja kulalamika hapa
Asante
Inawezekana na yeye hajaplay sehemu yake au ameplay. Ila kwa uwezo wake wa kati anaweza kumpandisha mkewe na wanae usafiri wa ndege hadi dar then basi hadi songea akasalimie kwao kila mwaka (na hapo mabasi yapo mazuri tu).
Atleast yeye amejaribu.
Wanaume wengi hamuwapi wanawake zenu hadhi na huduma zinazostahili hata mkiwa na uwezo kiasi
 
Fedha ni manukato ya mapenzi, umasikini wetu mbaya saana, atatokea kapuku kama mimi atasema, "unamkodia private jet kumbe anaenda to_mbwa na mwingine" bro huo ni ufukara wetu tutafute pesa, hata huyu uliyemfungulia banda la mkaa anaweza akaigawa ama asiigawe
 
Huyu mwanamke mwenzetu ndio amejua kuolewa na kuifaidi ndoa, yani mume anajua kabisa mkewe Anafanya booking ya ndege ya kawaida halafu aka mute tu muda wa safari anamwambia hapana uende na private jet! Yani kupeti peti kama koteee na kumjali kama kote.

Sasa wanaume wetu hawa akina fundi Juma ukiomba hata hela ya boda au ya kutolea unaitwa gold digger au mdangaji. Ngoja tubaki kuwa ndugu watazamaji.

Sisi tukifika mbinguni tutakuwa tumechoka sana asee nyie kaka na baba zetu jifunzeni kwa mwanaume mwenzenu mume wa Regina Daniels.

View attachment 2123470

And they always cheat! Mwanamke always anaitaji asichopewa, sasa kutaka kumfurahisha Ni Sawa na kujibu hili swali "kati ya Kuku na Yai kipi kilitangulia"

Ili umjue mwanamke vizuri Sana Lazima uwe umekufa!
 
Wanawake mnamatatizo sana ni namna gani naweza mpatia mtu kitu sina? Sio kila kinachoonekana kinaweza patikana kwa kila mtu tuheshimu madaraja
Kwa wale walio nacho bwana..
Halafu wewe hapo hata ukiombwa hela ya boda au vocha unamuita gold digger kweli??
 
Back
Top Bottom