Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

😁😁😁 si mlisema ukitaka upendo wa dhati mtafute wa kwako ata akiwa choka mbaya utamtengeneza awe kama beyonce,

sema nini bosi hawa waganga wao levo zaidi ya mganga wa UWOYA.
Hahahahahahha kweli lazma kuna namna😅!
Mwanamke unamtengeneza ni sawa kabisa sema awe na rich mindset hata kama hana sio hawa waganga njaa ambaye mda wote anawaza kuhudumiwa. Hajiongezi yani kabisa hata kuonesha she is trying kupambana na hali!
 
Hahahahahahha kweli lazma kuna namna😅!
Mwanamke unamtengeneza ni sawa kabisa sema awe na rich mindset hata kama hana sio hawa waganga njaa ambaye mda wote anawaza kuhudumiwa. Hajiongezi yani kabisa hata kuonesha she is trying kupambana na hali!
😁😁😁
 
😁😁😁
Golddigger akiamka akili yake inawaza nani ampige kizinga cha Wig, Nailshop, Hoteli kali ya kula lunch na kumalizia siku kwa kujipost akinywa wine na fries like she has made it in life! Giza likiingia aite bolt arudi kwa Mnyamani akalale! Huyu kuja maeneo ya machinjioni lazma akutie spoku kwanza.

Af kuna wale akiamka anawaza leo akazungushe wapi biashara yake ya mafuta ya kupikia. Ni migahawa gani akienda likely anaweza pata tender ya ku supply? Huyu wa hivi licha ya uzuri ila hizi 10-30K zinakuwa hazimpi tabu. Ukimuita mahali haanzi kuomba nauli 😅 sababu anamudu vi cost vidogo dogo. Huyu wa hivi akionekana na watu serious wanaotafta wanawake wa kuoa huwa ana chance ya 99% kubebwa fasta.
 
Kumbe unafunda pia
Nikikuona unaelekea nakupa michakato, huyu demu alikuwa ananielewa kichizi, mimi moyoni sina malovee kihivyo, najipigia tu, sina kitu naruka yaani ye hana tabu na mimi, yaani alikuwa ananifanya njia kuu ila ana madanga pembeni, sasa namshangaa huyu mbona anadanga kwa wenye njaa, ndio nikampangilia mistari, akakubali, viwanja vya kijanja nikampeleka, nampa mawili ma3, mbona fasta tu akachange, sasa nimemueleza nimeoa, nimebadilika wala haamini, soon kaniambia anakuja, aje kuona nimebadilikaje.

Sio huyo tu, mwingine yupo uturuki saa hizi, amesema akirudi (mwezi wa 4-5)hataki la muadhini wala mnadi swala yeye anataka ndoa(mke wa pili) kiroho saafi, hapa nasikilizia, nianze kuishi kwa tabu. 😂
 
Baba yako alishawahi kumbookia mama yako ndege?! Usipende mambo makubwa ambayo hata baba yako asingeweza mudu kukufanyia halafu wewe uje utegemee mtoto wa mwanamke mwenzio akufanyie.

Tamaa mbaya sana. Hayo macho uliyotumia kuona hiyo habari hebu nenda kafungue Bible usome kitabu cha Mithali ukifunze mambo ya hekima uondokane na akili ya matamaa ya hovyo hovyo.
 
Sifa ya kuwa mwanamke expensive unayestahili treats ni lazima uwe unaweza ku clear bills zako bila kusumbua hilo la kwanza.

Then baada ya hapo tutaendelea ku retain value yako bila pressure [emoji28] you don’t have to mention it. We on service 24/7 lazma ule apple tu.

Akina mwajuma ndala ndefu kuja on date tu lazma utangulize elf 50 ya nauli. Humo akabandike kucha na kusuka ndio aje kwako. Humo hamna kitu lazma tukereke tu[emoji28]
Passo inataka kupewa heshima sawa na Ferrari. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiwaza kwamba ata cheat basi hutakaa ufanye naye kitu

Nishakaa na Mwanamke Kwa miaka 5 hata simu sigusi, namwamin, anapata kila kitu, Gari, mafuta, simu matoleo mapya, mshahara wake siujui.

Bila kuchunguza wala kuwaza taarifa Za ku cheat zikanifikia na nikathibitisha! Ni mwaka wa 10 huu, hata maumivu hayajaisha, namwangalia tu na watoto wangu 4 nakuwa mpole!

I, John Will never bank on a woman, maisha yangu yote, nilijaribu Sana kutafuta Wapi nimekosea, mpaka Kwa marafiki zangu, Hakuna!

Niwahi nyumbani, situmii pombe, unajua Rena Dar, utoke posta mpaka Mbweni, lakini unawahi familia home, but everything in vain!

Swali langu kubwa: Who knows a woman, but have just discovered; Ni Mungu tu muumbaji, na mtu aliyekufa Kwa sababu ya madhila ya mwanamke!
 
Ndugu kama ingekuwa furaha kwao kuchazwa Juani mwaka mzima basi wasingechepuka na wale wenye uwezo. Tunawajua vizuri siongei kwa kugesi.
Huo ni mtazamo wako.Ukienda kwa baadhi ya wakurya pamoja na baadhi ya makabila wakiona mwanamke anapigwa watasema huku ndio kuolewa sasa! Ila kwa mtazamo wako utasema wanaonewa! Swala la kuchepuka halihusiani.Hiyo ni hulka ya mtu binafsi, Wangapi tunawafahamu huku mitaani wameolewa na wanaume wenye mali lakini bado wanachepuka kwa masikini?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hahahahahahha kweli lazma kuna namna[emoji28]!
Mwanamke unamtengeneza ni sawa kabisa sema awe na rich mindset hata kama hana sio hawa waganga njaa ambaye mda wote anawaza kuhudumiwa. Hajiongezi yani kabisa hata kuonesha she is trying kupambana na hali!
Ila hupendi kuombwa helaa yani hyo naiona kwa nyuzi na comments zako nyingi sana
 
Golddigger akiamka akili yake inawaza nani ampige kizinga cha Wig, Nailshop, Hoteli kali ya kula lunch na kumalizia siku kwa kujipost akinywa wine na fries like she has made it in life! Giza likiingia aite bolt arudi kwa Mnyamani akalale! Huyu kuja maeneo ya machinjioni lazma akutie spoku kwanza.

Af kuna wale akiamka anawaza leo akazungushe wapi biashara yake ya mafuta ya kupikia. Ni migahawa gani akienda likely anaweza pata tender ya ku supply? Huyu wa hivi licha ya uzuri ila hizi 10-30K zinakuwa hazimpi tabu. Ukimuita mahali haanzi kuomba nauli [emoji28] sababu anamudu vi cost vidogo dogo. Huyu wa hivi akionekana na watu serious wanaotafta wanawake wa kuoa huwa ana chance ya 99% kubebwa fasta.
Piga kelelee kwa wanawake material kama sisi watafutajiiiii weuweeee
 
Wee private jet upate wapi bwana...ungekuwa mzuri saa hizi wenye hela would have been wining and dinning u. Sasa unachapa marimba na sie wakina mzabzab waendesha bodaboda usiku huu wote
Tutaishia kuitiwa bodabida tu sio?
 
Angalua jicho na tako lake alafu nyanyua mikono juu sema mimi ni mubaya
 
Tutaishia kuitiwa bodabida tu sio?
Habari ndio hiyo. Siwezi kumpandisha demu wa kawaida kwa uzuri na tako private jet. Kama vile mwanamke mrembo hawezi kumpa mbususu mtu kama mie bodaboda. Unfortunately thats life
 
Back
Top Bottom