Huyu ni wakuoa kweli?

Huyu ni wakuoa kweli?

Sasa mkuu ukishampiga chini huyo itabidi uanze usaili tena upya kwamtu mwingine? Acha tabia kama zawatu wamagu wamwanza kupenda kuabudiwa neno asante litakusaidia nn
Mkuu ahsante ina maan sana ujue ukimpa hata mama ako pesa au zawad yako kitendo cha kukwambia ahsante tyr n baraka
 
Dah yan kizuri kwake ni kuwa hana shobo na wanaume ila sasa mambo mengine yale ya kimahaba mahaba ndo hana kbsa
Unajihakikishiaje kuwa hana shobo na wanaume?? Mwenyewe niliwah kuwa na demu nikawa najiaminisha hana shobo...bwanaweeeeee kumbe anatiwa hatari.


Endelea kujifariji mkuu
 
Mkuu ahsante ina maan sana ujue ukimpa hata mama ako pesa au zawad yako kitendo cha kukwambia ahsante tyr n baraka
Mkuu acha kufananisha mama yako mzazi nakitu kingine. Mama yako kabla ujawaza kumpatia chochote yeye tayari alishakuombea upate.
 
Ila kweli dah
Unajihakikishiaje kuwa hana shobo na wanaume?? Mwenyewe niliwah kuwa na demu nikawa najiaminisha hana shobo...bwanaweeeeee kumbe anatiwa hatari.


Endelea kujifariji mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom