Huyu ni wakuoa kweli?

Huyu ni wakuoa kweli?

Dah umezama deep sana
Mke mwema ni yule anayekifanya kichwa chako kifanye kazi ya ziada ukiona hafanyi hormone ya kiume kudinda acha kuoa atakufanya kuwa mwanamke sijui unanisikia?

Naona niongeze sauti kabisa msela baba hakikisha mkeo anakufanya ufikirie sana jinsi ya kuishi naye hata ukidanganya unakuwa na tahadhari ukiona hawezi kukufanya hivyo aise mkimbie mpaka miguu yako igonge matako yako hivi unanielewa au nipunguze sauti?
 
Habari wakuu

Niko kwenye usahili wa kutafuta mwanamke wa kuoa mnamo mwakani kama Mungu atajaalia.

Sasa kuna binti ambae anaongoza kura za maoni mpaka sasa kukabidhiwa nafasi hiyo,Ila kiukweli ana changamoto kadhaa ambazo naziona kama kikwazo kwangu.

1-Kwa kua amekulia katika mazingira ya utafutaji tangu anakua yani ni kama imempunguzia ule uromantic wa kike+ na asili yao ni watu wa kanda maalumu(Mara).

2-Unaweza mtumia pesa au chochote ila hawezi sema asante au nimeipata mpaka umuulize
mfano leo asubui nimemnunulia kifurushi ila hata kujibu kwamba nimeipata hamna na sio kwamba hanipendi ila tu ndo asili yake.

Binafsi naona kumwambia siwezi ila naona tu nipige chini japo hana sifa zingine mbaya.

Ushauri tafadhali
Mkuu acha tu,mimi nimemrudisha jana hukohuko mara na ndoa tumefunga 16/2/2019 we acha tu nilikuwa mbishi nikaacha waruguru wenzangu na kwenda huko nipo hapa nyumba imeniinamia
FB_IMG_1568661905064.jpeg
 
Wewe umeunga kifurushi tu hajasema ahsante akati wenzio wanatoa Laki hata kuambiwa imefika hakunaa...na simu inazimwa inakuja kupatikana jioni akiomba vocha tena
 
mtumie kifurushi, kaa dakika kumi na tano mtumie mesej mwambie asante kwa kifurushi.
asipoanza kujishtukia basi anakudharau.
 
Hii changamoto nliipata kwenye relation iliopita
mtu unamwambia mapungufu yake anakwambia unalalamika
Ndo maana hta huyu nimeona sina haja ya kumwambia vitu ambavyo ni basics kbsa mwanadam kuwa navyo
Watu tunatofautiana sana wa kwangu mimi anasema nalalamika sana hapo ni baada ya kumtafuta
 
Wewe umeunga kifurushi tu hajasema ahsante akati wenzio wanatoa Laki hata kuambiwa imefika hakunaa...na simu inazimwa inakuja kupatikana jioni akiomba vocha tena
Dah asa hizi c dharau kabisa za kiwango cha fly over
 
mtumie kifurushi, kaa dakika kumi na tano mtumie mesej mwambie asante kwa kifurushi.
asipoanza kujishtukia basi anakudharau.
Kuna tunapiga nae mishe alinishauri kama wwe jana
Ila kiukweli kumfundisha mtu vitu basics kbsa naona kama ni ufala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom