The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,124
- 1,457
Ata mm bado nipo kwenye usahili nioe yupi mwakani
Maoni kutoka kwa bachela....Mwanangu bado hujafikisha umri wa KUOA
Nna28 kakaYani ni wale dont care personMbona mambo madogo sana hayo na na hilo la asante linarekebishika
Sasa mkuu ukishampiga chini huyo itabidi uanze usaili tena upya kwamtu mwingine? Acha tabia kama zawatu wamagu wamwanza kupenda kuabudiwa neno asante litakusaidia nn
Dah yan tabu tupu mkuuAta mm bado nipo kwenye usahili nioe yupi mwakani
Matusi kwa njia ya diwani au sioHujitambui aslani walahi
Hujui wataka nini kwanini
Wajiendea tu kama boko
Lakini sio haba kiringeni
Umechangamsha genge
Walume wamejua u nani
Ila ushauri wajua vigezo
Ndio! Vigezo na masharti
Yalindayo hadhi na haiba
Wataka nini kuthibitisha?
Fanya tafakuri tu upya!
Binti hana shida aslani
We wajibaraguza jamani
Hujui lengo lako ni lipi
Badilika kimtazamo tu
Bazazi

Ndio mzuri huyo wa kutunza familia, huku ukipiga show za pembeniDah yan kizuri kwake ni kuwa hana shobo na wanaume ila sasa mambo mengine yale ya kimahaba mahaba ndo hana kbsa![]()
Bado hujajua unataka nini....
Ndio mzuri huyo wa kutunza familia, huku ukipiga show za pembeni
Kama katoka ile kanda maalum ujue huyo ni Mkurya wa kweyitu. Kure hawajui kusema "Akisanite" wao wanajuwa kuweka Obukima kwenye kisonso na chinyinyi mbere yako we ure tuu. Mengine ni siku ingine. Sasa we umempa bundle ya erufu tu unataka aseme ati akisanite. Mbona arisema; Okorere mbuya. Ukusikiya??
Ko kusema asante huwa inawapunguzia nnKwa kuwa nahic ni asili yake ndo maana hta nahic nkimwambia atahic namchonga tuNi vizuri ukamwambia ukweli kuwa hupendi tabia yake ya kibabe na yakutokusema asante pale unapomfanyia kitu, bora umemuelewa mapema maamuzi ni juu yako wewe mwenyewe uamue kusuka au kunyoa.
Jifanye fala kausha2 jifunze kuchukulia vitu easy kama vile anavyochukuliaHaha
kwa hiyo unaona sawa tu kumtumia mtu kitu hata mrejesho asitoe
Kweli uko sahihi ndo maana mpaka sasa sijawahi thubutu kumwambia juu ya hili maana naona atachukulia kwamba nahisi namsaidia sanaJifanye fala kausha2 jifunze kuchukulia vitu easy kama vile anavyochukulia
Kiuhalisia tu....ukiona ndoa imedumu sana na inautulivu,juwa mzee anapiga pembeni kiustaarabuDah hii sini heri nimpige chini
njoo pm unipe namba yake nikaugegede mzigo wa kikuryaHabari wakuu
Niko kwenye usahili wa kutafuta mwanamke wa kuoa mnamo mwakani kama Mungu atajaalia.
Sasa kuna binti ambae anaongoza kura za maoni mpaka sasa kukabidhiwa nafasi hiyo,Ila kiukweli ana changamoto kadhaa ambazo naziona kama kikwazo kwangu.
1-Kwa kua amekulia katika mazingira ya utafutaji tangu anakua yani ni kama imempunguzia ule uromantic wa kike+ na asili yao ni watu wa kanda maalumu(Mara).
2-Unaweza mtumia pesa au chochote ila hawezi sema asante au nimeipata mpaka umuulize
mfano leo asubui nimemnunulia kifurushi ila hata kujibu kwamba nimeipata hamna na sio kwamba hanipendi ila tu ndo asili yake.
Binafsi naona kumwambia siwezi ila naona tu nipige chini japo hana sifa zingine mbaya.
Ushauri tafadhali