Huyu ni wakuoa kweli?

Huyu ni wakuoa kweli?

Haha
kwa hiyo unaona sawa tu kumtumia mtu kitu hata mrejesho asitoe
Sasa mkuu ukishampiga chini huyo itabidi uanze usaili tena upya kwamtu mwingine? Acha tabia kama zawatu wamagu wamwanza kupenda kuabudiwa neno asante litakusaidia nn
 
Hujitambui aslani walahi
Hujui wataka nini kwanini
Wajiendea tu kama boko
Lakini sio haba kiringeni
Umechangamsha genge
Walume wamejua u nani
Ila ushauri wajua vigezo
Ndio! Vigezo na masharti
Yalindayo hadhi na haiba

Wataka nini kuthibitisha?
Fanya tafakuri tu upya!
Binti hana shida aslani
We wajibaraguza jamani
Hujui lengo lako ni lipi
Badilika kimtazamo tu

Bazazi
Matusi kwa njia ya diwani au sio
 
Kama katoka ile kanda maalum ujue huyo ni Mkurya wa kweyitu. Kure hawajui kusema "Akisanite" wao wanajuwa kuweka Obukima kwenye kisonso na chinyinyi mbere yako we ure tuu. Mengine ni siku ingine. Sasa we umempa bundle ya erufu tu unataka aseme ati akisanite. Mbona arisema; Okorere mbuya. Ukusikiya??
 
Ni vizuri ukamwambia ukweli kuwa hupendi tabia yake ya kibabe na yakutokusema asante pale unapomfanyia kitu, bora umemuelewa mapema maamuzi ni juu yako wewe mwenyewe uamue kusuka au kunyoa.
 
Kama katoka ile kanda maalum ujue huyo ni Mkurya wa kweyitu. Kure hawajui kusema "Akisanite" wao wanajuwa kuweka Obukima kwenye kisonso na chinyinyi mbere yako we ure tuu. Mengine ni siku ingine. Sasa we umempa bundle ya erufu tu unataka aseme ati akisanite. Mbona arisema; Okorere mbuya. Ukusikiya??
Ko kusema asante huwa inawapunguzia nn
 
Ni vizuri ukamwambia ukweli kuwa hupendi tabia yake ya kibabe na yakutokusema asante pale unapomfanyia kitu, bora umemuelewa mapema maamuzi ni juu yako wewe mwenyewe uamue kusuka au kunyoa.
Kwa kuwa nahic ni asili yake ndo maana hta nahic nkimwambia atahic namchonga tu
 
Jifanye fala kausha2 jifunze kuchukulia vitu easy kama vile anavyochukulia
Kweli uko sahihi ndo maana mpaka sasa sijawahi thubutu kumwambia juu ya hili maana naona atachukulia kwamba nahisi namsaidia sana
 
ni
Habari wakuu

Niko kwenye usahili wa kutafuta mwanamke wa kuoa mnamo mwakani kama Mungu atajaalia.

Sasa kuna binti ambae anaongoza kura za maoni mpaka sasa kukabidhiwa nafasi hiyo,Ila kiukweli ana changamoto kadhaa ambazo naziona kama kikwazo kwangu.

1-Kwa kua amekulia katika mazingira ya utafutaji tangu anakua yani ni kama imempunguzia ule uromantic wa kike+ na asili yao ni watu wa kanda maalumu(Mara).

2-Unaweza mtumia pesa au chochote ila hawezi sema asante au nimeipata mpaka umuulize
mfano leo asubui nimemnunulia kifurushi ila hata kujibu kwamba nimeipata hamna na sio kwamba hanipendi ila tu ndo asili yake.

Binafsi naona kumwambia siwezi ila naona tu nipige chini japo hana sifa zingine mbaya.

Ushauri tafadhali
njoo pm unipe namba yake nikaugegede mzigo wa kikurya
 
Mke mwema ni yule anayekifanya kichwa chako kifanye kazi ya ziada ukiona hafanyi hormone ya kiume kudinda acha kuoa atakufanya kuwa mwanamke sijui unanisikia?

Naona niongeze sauti kabisa msela baba hakikisha mkeo anakufanya ufikirie sana jinsi ya kuishi naye hata ukidanganya unakuwa na tahadhari ukiona hawezi kukufanya hivyo aise mkimbie mpaka miguu yako igonge matako yako hivi unanielewa au nipunguze sauti?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom