Huyu ni wakuoa kweli?

Huyu ni wakuoa kweli?

Habari wakuu

Niko kwenye usahili wa kutafuta mwanamke wa kuoa mnamo mwakani kama Mungu atajaalia.

Sasa kuna binti ambae anaongoza kura za maoni mpaka sasa kukabidhiwa nafasi hiyo,Ila kiukweli ana changamoto kadhaa ambazo naziona kama kikwazo kwangu.

1-Kwa kua amekulia katika mazingira ya utafutaji tangu anakua yani ni kama imempunguzia ule uromantic wa kike+ na asili yao ni watu wa kanda maalumu(Mara).

2-Unaweza mtumia pesa au chochote ila hawezi sema asante au nimeipata mpaka umuulize
mfano leo asubui nimemnunulia kifurushi ila hata kujibu kwamba nimeipata hamna na sio kwamba hanipendi ila tu ndo asili yake.

Binafsi naona kumwambia siwezi ila naona tu nipige chini japo hana sifa zingine mbaya.

Ushauri tafadhali
Mfundishe kushukuru
 
Pungufu la neno "ahsante" ndilo la kukufanya upige chini? Wewe huna pungufu?

Beba pungufu Hilo Kama lako mkuu nenda nae taratibu huenda akabadilika uko mbeleni..
 
Ila I'm proud to be a nyakyusa aisee na makabila ambayo kidogo ningetamani niwe kama nisingekuwa mnyakyusa basi ningetamani niwe kati ya mchaga, mrangi, mpare au mmeru tofauti na hayo sijaona kabila lingine hapa bongo linalonipendeza kwa kweli
Aisee
 
Pungufu la neno "ahsante" ndilo la kukufanya upige chini? Wewe huna pungufu?

Beba pungufu Hilo Kama lako mkuu nenda nae taratibu huenda akabadilika uko mbeleni..
Ni wale watu wanaitwa dont care girls
Imagine since morning anajua kabisa naumwa jino hta kuuliza naendeleaje
really?
 
Ni wale watu wanaitwa dont care girls
Imagine since morning anajua kabisa naumwa jino hta kuuliza naendeleaje
really?
Mpigie/mtext kwa kumtakia hali ukiona hakuulizi nawewe waendeleaje mchane..hata kwenye utani lakini hakikisha hata akikaa na kutafakari utani wako unamchoma na kujifunza

Nilikua mdada wa ivyo enzi hizo..sikua mtu wa kujali chochote nilipata mwanaume alininyoosha na nikaamua kubadilika na nimebadilika.
 
Mpigie/mtext kwa kumtakia hali ukiona hakuulizi nawewe waendeleaje mchane..hata kwenye utani lakini hakikisha hata akikaa na kutafakari utani wako unamchoma na kujifunza

Nilikua mdada wa ivyo enzi hizo..sikua mtu wa kujali chochote nilipata mwanaume alininyoosha na nikaamua kubadilika na nimebadilika.
Dah! anyway tc ok ntajaribu kufuata ushaur wko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom